mjombakim
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 1,193
- 1,851
Nitakupa mmoja mkuu wasikutishe watuNgoja nimsake dadaako mmoja aisee wana roho nzuri sana hao!
wako poa sana sana mipango ina pangika ndio wana ongoza kwa kusukuma ndinga kali na cash hapa town kwa wingi?
ila na kabila zingine wapo pia ni swala la kuchagua tu!
ila Dada zangu Number 1!
usi wazinguwe kama ni mipango ya kando kapigie mbali kabisa na nyumbani kuanzia 50km adi 100km alafu usirudi na mirangi rangi na mipoda kwenye shati pata chimbika maana ndio kesi nyingi zinapo aziaga 😂
maliza mambo yako usiwe na haraka jikaguwe kwenye kioo alafu uwe unatembea na Chana kwenye gari una chana nywele zako una rudi home ukiwa poa na ukifika achana na biashara za kusema umechoka kesi huanzia apo shemeji umesikia Bwashee!
nitakupa somo wasikutishe!