Dar express anafilisika?

blessings

JF-Expert Member
Jul 9, 2012
6,983
6,237
Nataka kujua kama huyu Tajiri wa Kichaga kama anafilisika ama la maana kila uchwao anachemsha mara ajali mara moto funga kazi ni huduma mbovu kwenye gari zake, booking office zake (SHEKILANGO, UBUNGO,KINONDONI na pale KISUTU si kwa uchafu/mandhari wala kauli la wahudumu zake na hotelini kwake. Asipobadilika anapotea kwenye game kama mwenzake METRO/MSAE.
 
hameni....magari yapo mengi....Unasema Metro......umeiona siku za karibuni kweli.......? kuna Kilimanjaro pia....jaribuni hiyo.....mifanyakazi ya Dar express in nyodo sana......
 
Kila lenye mwanzo lina mwisho mkuu.. Kilimanjaro n Mtei yanahusika sana siku hizi

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Uchafu na kufilisika ni vitu viwili tofauti! Dar express ana scania Marcopolo.Irizar pamoja na Benzi hana Mchina(yutong)
 
hameni....magari yapo mengi....Unasema Metro......umeiona siku za karibuni kweli.......? kuna Kilimanjaro pia....jaribuni hiyo.....mifanyakazi ya Dar express in nyodo sana......

Mke wangu kanipigia simu yuko njiani kuelekea Dar akitokea Arusha...Kaondoka na Dar Express ya saa 4 kamili lakini anasema " Dad nimehuzunika sana kwani katika ticket wameandika saa 4 kamili, ila basi limeondoka saa tano na robo" huu ni ujumbe wa kweli na na akaendelea" Dad unajua nitafika Dar usiku, nampigia Vanessa aje kunichukua pale Ubungo. Gari lenyewe chafu, Lugha ya yule dada pale ofisini pia ilikuwa harsh imeniondolea mood". Nikampigia na kumtakia safari njema yenye uvumilivu na amani na maneno kidogo ya kimapenzi ili afarijike zaidi.... Kwa meseji hii ya leo kweli Dar Exp hawako vizuri. Ila nikalaumu rohoni kidogo...."kwanini asichague gari zuri, kwanini hakufanya online booking ya precision air ili asichoke sana...kuona tu wakwe?....atarudi lini? atakuwa salama? hajapoteza passport yake (hati ya kusafiria).........ni hii story ya usafiri kafiri na kwa kuwa imetokea kwa "my other half".
 
Mke wangu kanipigia simu yuko njiani kuelekea Dar akitokea Arusha...Kaondoka na Dar Express ya saa 4 kamili lakini anasema " Dad nimehuzunika sana kwani katika ticket wameandika saa 4 kamili, ila basi limeondoka saa tano na robo" huu ni ujumbe wa kweli na na akaendelea" Dad unajua nitafika Dar usiku, nampigia Vanessa aje kunichukua pale Ubungo. Gari lenyewe chafu, Lugha ya yule dada pale ofisini pia ilikuwa harsh imeniondolea mood". Nikampigia na kumtakia safari njema yenye uvumilivu na amani na maneno kidogo ya kimapenzi ili afarijike zaidi.... Kwa meseji hii ya leo kweli Dar Exp hawako vizuri. Ila nikalaumu rohoni kidogo...."kwanini asichague gari zuri, kwanini hakufanya online booking ya precision air ili asichoke sana...kuona tu wakwe?....atarudi lini? atakuwa salama? hajapoteza passport yake (hati ya kusafiria).........ni hii story ya usafiri kafiri na kwa kuwa imetokea kwa "my other half".

ha ha ha.....mkuu umenipa raha sana hapo kwenye blue......mahali uliponiacha hoi kabisa ni hapo kwenye red........hivi siku hizi Dar tunaenda na pasi ya kusafiria........chinekeeee oooooo......
 
ha ha ha.....mkuu umenipa raha sana hapo kwenye blue......mahali uliponiacha hoi kabisa ni hapo kwenye red........hivi siku hizi Dar tunaenda na pasi ya kusafiria........chinekeeee oooooo......
Preta, Pasi ya kusafiria kurudi nyumbani kwani nina wasiwasi kama kapoteza pasi yake huko sasa atarudije nyumbani? si hadi aende tena kuanza process Uhamiaji...na mimi sijui itachukua siku ngapi...mimi wakati nachukua yangu niliisubiri kwa mwezi mmoja na nusu tena hapo nikaambiwa eti imewahi sana.
 
Ntakuitia natalia sasa hivi na wewe. Sasa kama wanaishi ulaya na walishakuwa raia wa huko? Wakija huku si wanatumia.passport kubook air tickets. Huna hata boifrendi kuli wa swisport akupe hadithi mamito? Unalo hilo, hebu mfariji kakako manake mkewe kahuzunika nae kadhalika.
ha ha ha.....mkuu umenipa raha sana hapo kwenye blue......mahali uliponiacha hoi kabisa ni hapo kwenye red........hivi siku hizi Dar tunaenda na pasi ya kusafiria........chinekeeee oooooo......
 
Preta, Pasi ya kusafiria kurudi nyumbani kwani nina wasiwasi kama kapoteza pasi yake huko sasa atarudije nyumbani? si hadi aende tena kuanza process Uhamiaji...na mimi sijui itachukua siku ngapi...mimi wakati nachukua yangu niliisubiri kwa mwezi mmoja na nusu tena hapo nikaambiwa eti imewahi sana.

Haya sasa ujumbe mwingine huu hapa Preta "dad siioni tena Same, tumeshaiacha" huu ujumbe mbona mfupi namna hii?haya ndo mambo ya Dar Express. Leo naijadili kwani inanihusu.
 
Preta, Pasi ya kusafiria kurudi nyumbani kwani nina wasiwasi kama kapoteza pasi yake huko sasa atarudije nyumbani? si hadi aende tena kuanza process Uhamiaji...na mimi sijui itachukua siku ngapi...mimi wakati nachukua yangu niliisubiri kwa mwezi mmoja na nusu tena hapo nikaambiwa eti imewahi sana.

acha kunivunja mbavu bana........hapa tunaongelea safari ya wapi kwenda wapi...? na mbona sioni mahali palipoelezea au taarifa inayosema Dar Express imesababisha abiria kupoteza mizigo. he he he he.....kweli leo Jumapili.......
 
Ntakuitia natalia sasa hivi na wewe. Sasa kama wanaishi ulaya na walishakuwa raia wa huko? Wakija huku si wanatumia.passport kubook air tickets. Huna hata boifrendi kuli wa swisport akupe hadithi mamito? Unalo hilo, hebu mfariji kakako manake mkewe kahuzunika nae kadhalika.

hi hi hi......hii najua ni hasira inakupata kwa sababu huna pasi ya kusafiri........wahi uhamiaji....ni haki yako.......na ukishaipata uwe unapanda Ndege.....sio utusumbue.....unaona sasa wifi haioni Same.....?
 
Preta, Pasi ya kusafiria kurudi nyumbani kwani nina wasiwasi kama kapoteza pasi yake huko sasa atarudije nyumbani? si hadi aende tena kuanza process Uhamiaji...na mimi sijui itachukua siku ngapi...mimi wakati nachukua yangu niliisubiri kwa mwezi mmoja na nusu tena hapo nikaambiwa eti imewahi sana.

nyie kwani kwenu wapi........?
 
Haya sasa ujumbe mwingine huu hapa Preta "dad siioni tena Same, tumeshaiacha" huu ujumbe mbona mfupi namna hii?haya ndo mambo ya Dar Express. Leo naijadili kwani inanihusu.

ha!...mara moja hii....au wamepitia njia ya Bumbuli......?
 
ha ha ha.....mkuu umenipa raha sana hapo kwenye blue......mahali uliponiacha hoi kabisa ni hapo kwenye red........hivi siku hizi Dar tunaenda na pasi ya kusafiria........chinekeeee oooooo......
Njia ya muongo fupi!!!
 
Ntakuitia natalia sasa hivi na wewe. Sasa kama wanaishi ulaya na walishakuwa raia wa huko? Wakija huku si wanatumia.passport kubook air tickets. Huna hata boifrendi kuli wa swisport akupe hadithi mamito? Unalo hilo, hebu mfariji kakako manake mkewe kahuzunika nae kadhalika.

Mkuu umenisaidia sana kwa Preta kwani nilikuwa nafikiria jinsi ya kufunguka kwake kuhusu tunakoishi...Lazima uwe tu na hati ya kusafiria, tena pembeni ya visa kwenye hati zetu za kusafiria pamegongwa muhuri wenye lakiri ya platinum iliyofifia kidogo, "MARRIED" kila unaposafiri inajulikana umeoa/olewa.

Namkumbuka Mbunge na Waziri mmoja mwenye nguvu sana kule Swaziland alisema "wote wenye VVU wagongwe muhuri fulani kwenye makalio yake ili kila anaytaka kufanya tendo la ndoa amwangalie kwanza mwenzake kama ana alama au la!

Mawazo yake yalipingwa sana kuepuka unyanyapaa.

Zimbabwe ndio ikamaliza kazi Kwa mbunge kama yule na Waziri mkomavu Kumshawishi Comrade Mugabe, R.G aruhusu waume wawe na nyumba ndogo kisheria...(ingawa ni off topic lakinin nimekumbuka tu)

 
hameni....magari yapo mengi....Unasema Metro......umeiona siku za karibuni kweli.......? kuna Kilimanjaro pia....jaribuni hiyo.....mifanyakazi ya Dar express in nyodo sana......
Kuna kampuni nyingene inaitwa Hai wafanya kazi wake nao wananyodo hujapata kuona...
 
Mke wangu kanipigia simu yuko njiani kuelekea Dar akitokea Arusha...Kaondoka na Dar Express ya saa 4 kamili lakini anasema " Dad nimehuzunika sana kwani katika ticket wameandika saa 4 kamili, ila basi limeondoka saa tano na robo" huu ni ujumbe wa kweli na na akaendelea" Dad unajua nitafika Dar usiku, nampigia Vanessa aje kunichukua pale Ubungo. Gari lenyewe chafu, Lugha ya yule dada pale ofisini pia ilikuwa harsh imeniondolea mood". Nikampigia na kumtakia safari njema yenye uvumilivu na amani na maneno kidogo ya kimapenzi ili afarijike zaidi.... Kwa meseji hii ya leo kweli Dar Exp hawako vizuri. Ila nikalaumu rohoni kidogo...."kwanini asichague gari zuri, kwanini hakufanya online booking ya precision air ili asichoke sana...kuona tu wakwe?....atarudi lini? atakuwa salama? hajapoteza passport yake (hati ya kusafiria).........ni hii story ya usafiri kafiri na kwa kuwa imetokea kwa "my other half".

wewe sio m2 wa Bukoba kweli?
 
Njia ya muongo fupi!!!

Georgeallen, Karibu kwa Madiba...naomba ukija njoo bila passport. Shukia OR Tambo IA. (Zamani ulikuwa unaitwa JIA). Na mizigo yako...usijali halafu tuwasiliane nitakuja kukupokea..Nipigie katika mobile yangu +27 725 22 98 .. hizo tarakimu mbili nitakupa ukinipm kwamba unakuja. Ila usije kuzurura, utaaibika sana....Karibu sana Mkuu.
 
Back
Top Bottom