Nataka kujua kama huyu Tajiri wa Kichaga kama anafilisika ama la maana kila uchwao anachemsha mara ajali mara moto funga kazi ni huduma mbovu kwenye gari zake, booking office zake (SHEKILANGO, UBUNGO,KINONDONI na pale KISUTU si kwa uchafu/mandhari wala kauli la wahudumu zake na hotelini kwake. Asipobadilika anapotea kwenye game kama mwenzake METRO/MSAE.