Jimmy Haizer
New Member
- Nov 22, 2014
- 1
- 1
Habari wanajamii, sijawahi kuona huduma mbovu za usafirishaji wa nchi kavu kama hizi za basi la AIFOLA EXPRESS linalofanya safari zake Dar-Kigoma, wahudumu wanakauli mbaya, hawajali wateja wao sio kwenye upande wa abiria wala mizigo, mara kadhaa limekua likichelewesha abiria kufika kwa wakati kwa kupigwa faini za kizembe kwenye mizani yakupimia uzito na ushuru wa kutoka stendi, kwenye upande wa mizigo ndio balaa zaidi, ukisafirsha mzigo kwenye hili basi uandae na muda wa kugombana na wahudumu maana usumbufu utakaoupata utajuta, AIFOLA EXPRESS MNATUKWAZA WATEJA WENU, JIREKEBESHENI