Dar es Salaam yote haina umeme

Dar es Salaam yote haina umeme

Mpinzire

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
7,826
Reaction score
14,018
Nikiwa Kariakoo majira ya saa 18:30 nikaona kiza cha ghafla! Si kawaida kukuta kariakoo yote haina umeme ila kadri nilivyosogea mpaka mtaa wa kongo nikakuta hali hiyohiyo ya kiza, kupiga simu home Tabata naambiwa nako hakuna Umeme anzia jioni!

Kuna nn leo ndani ya Jiji la Dar es Salaam?
 
Hapa moshi pia mida ya saa 1 umeme umekatika kwa dakika chache
 
Nikiwa Kariakoo majira ya saa 18:30 nikaona kiza cha ghafla! Si kawaida kukuta kariakoo yote haina umeme ila kadri nilivyosogea mpaka mtaa wa kongo nikakuta hali hiyohiyo ya kiza, kupiga simu home Tabata naambiwa nako hakuna Umeme anzia jioni!

Kuna nn leo ndani ya Jiji la Dar es Salaam?
Bwamdogo DAR ES SALAAM yote haina UMEME amekuambia nani
aloyekuambia DAR ES SALAAM ni Kariakoo na TABATA ni nani
Hapa MAGOMENI MWANANYAMALA SINZA umeme upo umejaa tele acha kukalili
 
Vipi manzese huko upo ?


Huku nilipochificha ni mwaka sasa umeme haujawahi kukatika kwa mda mrefu ukizidi sana dk 10

Na ni tanzania hihihii
 
Nikiwa Kariakoo majira ya saa 18:30 nikaona kiza cha ghafla! Si kawaida kukuta kariakoo yote haina umeme ila kadri nilivyosogea mpaka mtaa wa kongo nikakuta hali hiyohiyo ya kiza, kupiga simu home Tabata naambiwa nako hakuna Umeme anzia jioni!

Kuna nn leo ndani ya Jiji la Dar es Salaam?
Dah Umepata taarifa au umeunganisha dot
 
Back
Top Bottom