Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,637
- 7,919
Chanzo cha habari ni kipi? Na kinasema nini?Dalili ya mvua ni mawingu! Nadhani kiingereza kilichotumika si kigumu na watu wengi wameelewa habari. Ila wanashangaa vipi tena tunakimbilia kule kule tulikolizwa ikitiliwa maanani wenyewe hawana usafiri mzuri wa reli? Tatizo liko kwenye heading labda!
Zinazotafutwa ni funds, technology, au Management kutoka India?
Je, kuna hata kimojawapo kilichopatikana?