FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,066
- 40,725
Kwasababu Marekani kuna maji tiririka, hizo ndoa unazoziona ni ushahidi wa uhaba wa maji tiririka Tanzania.
Maji tiririka yapo sehemu ya kulia chakula na jikoni katika nyumba nyingihapo umedanganya,ofisi nyingi hata huko ulaya utaratibu wa sehemu za kunawa hupo chooni ndo utakuta sehemu ya kunawa.kwa mfumo tulio weka sisi uwezi kuingia sehemu yoyote lazima unawe.
kuna mda watanzaniatu ujinga wa kuona kila tunalo fanya sio zuri kuliko la mzungu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Maji tiririka yapo sehemu ya kulia chakula na jikoni katika nyumba nyingi
Nimesema Marekani maji kuna maji tiririka katika sehemu nyingi. Kwanza kuzuia maambukizi ya magonjwa. Kila mwenye mgahawa anatakiwa kuwa na maji tiririka kwa wafanyakazi kunawa mikono.bado ujajibu ulicho kisema.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Utajuaje hakijachanganya wakati hata takwimu sasa hivi wamegoma kabisa kuzitoa mkuukitu hakijachanganya tu,kikichanganya njia pekee ni kujifungia ndani Hamna cha barakoa wala kunawa mikono.
Huoni hata hao wanaojifungia ndani wanaendelea kufa tu, ukae ndani ukae nje utakufa tu..kitu hakijachanganya tu,kikichanganya njia pekee ni kujifungia ndani Hamna cha barakoa wala kunawa mikono.
Nimesema Marekani maji kuna maji tiririka katika sehemu nyingi. Kwanza kuzuia maambukizi ya magonjwa. Kila mwenye mgahawa anatakiwa kuwa na maji tiririka kwa wafanyakazi kunawa mikono.
Mbona kama watu mnatamani sana hii kitu itutandike kisawasawa???kitu hakijachanganya tu,kikichanganya njia pekee ni kujifungia ndani Hamna cha barakoa wala kunawa mikono.
Utasubiri sana wewe fyatu fyatu, badala ya kuombea heri wewe unaota ndoto za maafa.kitu hakijachanganya tu,kikichanganya njia pekee ni kujifungia ndani Hamna cha barakoa wala kunawa mikono.
Mkuu huko marekani ni nyumba ngapi umeziona haziko connect na water supply system,kwamba hazina maji so zilazimike kutumia ndo Kama kwenuHapa Dar es salaam kila baada ya mita 2 au 3 kuna ndoo ya maji safi yenye koki ya kunawia pamoja na sabuni ya kubonyeza kwa ajili ya kutakasa mikono, na unaweza kuitumia huduma hiyo ya kunawa popote na muda wowote bila hata kumuuliza mwenye eneo husika.
Kwakuwa njia kuu hasa na ya uhakika ya kusambaa kwa virusi vya Corona ni kupitia mikono nadhani hii imesaidia sana hapa Dar watu wasife kwa maelfu kwa siku kama huko Marekani, unless Marekani haina uwezo wa kifedha wa kununua ndoo milioni kadhaa za kunawia ndani ya siku chache, nawashauri waige utaratibu huu wa kuweka ndoo za kunawia mitaani kama tulivyofanya Dar.
Pia jambo lingine linalotusaidia Dar kwa sasa ni hili la kuvaa barakoa kwa lazima, inaonekana kule Marekani barakoa ni ghali sana na kuna hatari ya watumishi wa afya kukosa barakoa endapo itatangazwa lazima kuvaa barakoa kabla ya kutoka nje, ndio maana wakasema kuvaa barakoa ni kwa wanaoumwa tu, lengo lao ni ili kuwaokoa watumishi wa afya ili wasikose barakoa, nitoe wito kwa serikali ya Marekani kuruhusu watu wajishonee barakoa zao wenyewe na iwe lazima kuvaa kabla ya kutoka nje.
Ifahamike kwamba unapokohoa ile barakoa inasaidia virusi visiende mbali.
unasubiri kichanganye au unakichanganya hakichanganyiki.kitu hakijachanganya tu,kikichanganya njia pekee ni kujifungia ndani Hamna cha barakoa wala kunawa mikono.