ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Mida ya Saa mbili usiku Jana Jumapili nikiwa na drive kurudi nyumbani mbagala toka ubungo niliamua nipitie njia ya katikati ya Jiji 'morogoro road' nikaunganisha akiba,posta mpya,Samora,Stesheni,Dawasco hadi Bp bandari kilwa road.
Nimeshangazwa kuona mji na hasa katikati ya ]iji pakikosa taa nadhani hii in aibu!Mbali ya barabara zinazopita mitaa ya posta mpya kituoni kuonesha kiwango duni/kuchoka pia maeneo hayo yanasaidiwa sana kumulikwa na taa chache za majengo.
Na cha ajabu hata majengo mengi yapo kizani tofauti na yanavyoonekana mchana hayana taa za nje!..hivi Leo hii sanamu ya askari ya Bismini round about ya Samora in Giza Giza,Kituo chetu Kikuu Tanzania cha Reli cha enzi na enzi kipo gizani!
Ni aibu hata kama unatembeza mgeni kutoka nje hata watalii waone hali hii inauma hasa kwa wachache tuloona miji ya wenzetu inavyowaka usiku kwa taa na marembo,hivi kweli mtaa wa Ohio ,Ifm ,Embassy hotel panakua Giza vile?City centre?tena ya jiji kuu la nchi?
Naomba wahusika waliangalie hili kwa kweli, halmashauri,Meya na pia mheshimiwa mkuu wa mkoa litazameni hili kwa uzito wake.maeneo ya Gymkhana ,Ohio zipo report za watu/Wageni kushambuliwa na kuporwa na vibaka...Giza inachangia haya matukio!
Nimeshangazwa kuona mji na hasa katikati ya ]iji pakikosa taa nadhani hii in aibu!Mbali ya barabara zinazopita mitaa ya posta mpya kituoni kuonesha kiwango duni/kuchoka pia maeneo hayo yanasaidiwa sana kumulikwa na taa chache za majengo.
Na cha ajabu hata majengo mengi yapo kizani tofauti na yanavyoonekana mchana hayana taa za nje!..hivi Leo hii sanamu ya askari ya Bismini round about ya Samora in Giza Giza,Kituo chetu Kikuu Tanzania cha Reli cha enzi na enzi kipo gizani!
Ni aibu hata kama unatembeza mgeni kutoka nje hata watalii waone hali hii inauma hasa kwa wachache tuloona miji ya wenzetu inavyowaka usiku kwa taa na marembo,hivi kweli mtaa wa Ohio ,Ifm ,Embassy hotel panakua Giza vile?City centre?tena ya jiji kuu la nchi?
Naomba wahusika waliangalie hili kwa kweli, halmashauri,Meya na pia mheshimiwa mkuu wa mkoa litazameni hili kwa uzito wake.maeneo ya Gymkhana ,Ohio zipo report za watu/Wageni kushambuliwa na kuporwa na vibaka...Giza inachangia haya matukio!