Dar es Salaam Institute of Technology(DIT) - Special Thread

Dar es Salaam Institute of Technology(DIT) - Special Thread

Hivi kwa walioomba diploma Pale DIT, selection zinabandikwa chuoni ama?... Maana hadi leo hawajatoa selection na wakati vyuo vingine wametoa second round kabisa na inaisha jumapili... Huu mfumo mbovu sijapata wahi kuona... Apo kama wakitoa selection na hujachaguliwa it means vyuo vingine vinakuwa vishafungwa udaili unabaki nyumbani tu unashindwa hata kuomba kwingine.

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
 
Naomba kuuliza kama kuna uwezekano wakubadili course apo chuon DIT. Nimechaguliwa (computer engineering) kwa ngaz ya Diploma nilikua nataka kusoma mechanics au civil , msaada wenu tafadhari
 
Naomba kuuliza kama kuna uwezekano wakubadili course apo chuon DIT. Nimechaguliwa (computer engineering) kwa ngaz ya Diploma nilikua nataka kusoma mechanics au civil , msaada wenu tafadhari
ukifika watakupa muongozo wa jinsi ya kubadili course.f ika fanya registration then anza utaratibu wa kubadili course
 
ukifika watakupa muongozo wa jinsi ya kubadili course.f ika fanya registration then anza utaratibu wa kubadili course
Nashukuru bro, vip ila aisumbui landa kama izo coz nazotaka kuamia zimejaa
 
Wakuu nimetuma maombi hapo DIT nataka kusomea diploma in biomedical equipment engineering. Je kwa performance yangu hii nitachaguliwa kweli!?

O-level
Physics-B
Chemistry-B
Biology-B
Mathematics-C
Kiswahili-B
English-B
History-C
Civics-C
Geography-C

A-level
Chemistry-C
Physics-E
Biology-E
Bam-E
General study-E.

Naombeni ushauri wenu wakuu.
Kama utachaguliw hyo kozi kua makini sana inaugumu wake.... Soma sana acha mambo mengi!!!!
 
Hivi hii kozi ya Science & Laboratory technology...ipoje katika soko la Ajira maana tukisema kwenye kujiajiri ni ngumu...kwa wale waliosoma ??
 
Sawa kiongozi wangu nimekuelewa, mungu akubariki 🙏 kwa ushauri wako mkuu
 
Ndugu yangu ana "d" nne tu za arts na anahitaji kusomea ict
 
Naomba kuuliza kama kuna uwezekano wakubadili course apo chuon DIT. Nimechaguliwa (computer engineering) kwa ngaz ya Diploma nilikua nataka kusoma mechanics au civil , msaada wenu tafadhari
Karibu mechanical
 
Hongereni kwa mfumo uliopo pale kwamba hakuna kum award mtu diploma au degree kama hatafanya project mwaka wa mwisho na kuvumbua ama kutengeneza kitu ambacho kitaisaidia jamii kulingana na kozi unayosoma na ukae mbele ya lecturers na kuitetea project yako na kama umecopy na kupesti lazima wakurudishe ukajipange upya la sivyo habari ya kuwa awarded degree ama diploma unaisahau!

Pia kumbe wanafunzi wa dit ndo wameprogam taa za barabarani za hapa dsm!

Hongereni vijana.
Bongo hakunaga hizo. DIT Kuna Ma-profesa? Au wenzangu na mm mafundi Mchundo
 
NAOMBA MSAADA WA UFAFANUZI
1.computer Science
2.Computer Engineering
3.Information Technology
4.Information & Communication Technology
5.Computing & IT
6.Computing & ICT
7. Communication System Technology.
Kozi ipi ni nzuri na inasoko
 
Back
Top Bottom