Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 4,662
- 4,162
Thanks for giving us a lead! We're surely going to work on it!Polisi wanajenga taswira mbaya sana mbele ya jamii.tutegemee matukio mengi ya aina hii kwa siku za mbeleni
Thanks for giving us a lead! We're surely going to work on it!Polisi wanajenga taswira mbaya sana mbele ya jamii.tutegemee matukio mengi ya aina hii kwa siku za mbeleni
Mkuu waswahili ni mabingwa wa kutunga uzushi ndio maana nakwambia useme ilikuajeheheheheh...my friend ...wewe unahisi kabisa natunga......
kwa hiyo nikueleze wewe hapa kama nani?Mkuu waswahili ni mabingwa wa kutunga uzushi ndio maana nakwambia useme ilikuaje
Umenena vyema sana mkuu,lakini ni nani wa kukusikiliza?Mkuu, kama jamii tuna tatizo baya sana vichwani mwetu zinazotokana na political inclinations. Kuna watu humu jamvini wanashabikia watu kuvunjwa viuno na nyonga na kuuliwa kwa ajili ya maandamano na mikutano ambayo ni haki yao kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi. Wamefikia kiwango cha kuwataka eti fulani na fulani watangulie mbele ya maandamano wakiwa na familia zao ili wavunjwe viuno ama kuuawa kabisa. Huu ni ukosefu wa busara na utu. Mimi nilidhani watu hao wangepaswa kutoshabikia umwagaji damu, na wangesisitiza umuhimu wa amani, na kutafuta suluhu za mtafaruku kwa njia ya amani; jambo ambalo kama taifa tumewahi kuheshimiwa sana huko nyuma. Kinachoendelea hivi sasa ni udhihirisho wa mgawanyiko wa kijamii kiitikadi. Wanaoona wanakandamizwa kinyume cha sheria wanapata mahali pa kupumulia kama kwenye tukio kama hili. Na wale wanaoshabikia state violence dhidi ya madai ya haki za kikatiba na kisheria kwa kundi lingine ndio wanaolaani kwa jazba kitendo hiki wakikiona kuwa si cha kiutu, lakini cha kuvunja viuno vya wadai haki za kikatiba na kidemokrasia nihalali kwao.
Vyovyote vile, mauaji ya Polisi hayakubaliki, na ni jinai kama jinai zinginezo. Jamii zilizostaarabika haziwezi kukubaliana na mambo maovu ya kiwango hiki. Vivyo hivyo, na hao pro state violence wajaliwe kuona kwamba amani ya nchi ni tunda la haki yaani kuheshimika kwa katiba kama msingi mkuu wa utawala wa jamii yetu. Yaliyo ndani ya katiba yaheshimike kama yalivyo, na yaliyo nje ya katiba yapingwe na yashugulikiwe kwa mujibu wa sheria za nchi. Binafsi sipendi matumizi ya nguvu yasiyo ya lazima kwa vitu ambavyo busara, hekima na maongezi ya kawaida kabisa yangeliweza kutatua tatizo.
sHaya yanatokana na uhusiano usiomzuri kati ya raia na Polisi, sio jambo jema kbs ila hii chuki imejengwa na wao wenyewe kupitia wanasiasa na siasa yenyewe.
Very cheap position by Juliana sijui nani, who does she think she is, eti yeye anatujua chuki zetu kwa mani? hili ndio tatizo la awamu ya 4 ya JK kuwadanganya hawa warembo uchwala kwamba they are the most intelligent young kids simply because they could be used like toilet papers. Listen to her, unawajua wakina mani, and who are you to communicate your position. Sisi sio wanafiki tunajadili situation napa hatutafuti u DC wala upambe kwenye timu so and so, we are above that. We are saying the truth that mkulu hana strategy na approach yake ni poor. hatuzunguzii hawa na wale hapa Tanzania ni yetu sote sio yenu na wao wanaowatumia. Kimenuka sasa wanoawatumia hawa uwezo wa kuwalinda any more, the reality is that you are totally exposed na mnashughulikiwa sasa kwa kuwa watu wametokwa na huruma. Hivi utamhurumiaje mjeshi anayewavunja watu miguu, tena vijana kama wewe kwa vile tu, si waumini wa chama chako cha CCM (baba wa kambo).Kosa kubwa, lililofanyika waliomzunguka hawako tayari kumwambia ukweli kua "alipata kura" kidogo. Sana sana, wanaishia kumwambia hawa ni vijana wate wa IT. Wakijitahidi wanasema tulikua nao wote kipindi cha uchaguzi. Full stop.
wameshikwa hofu na woga wanachora movie wakidhani public itasympathise nao ndio kwanza vicheko na cherekocheroko li strategy lao limebuma kwa kweli they have small brains
Very cheap position by Juliana sijui nani, who does she think she is, eti yeye anatujua chuki zetu kwa mani? hili ndio tatizo la awamu ya 4 ya JK kuwadanganya hawa warembo uchwala kwamba they are the most intelligent young kids simply because they could be used like toilet papers. Listen to her, unawajua wakina mani, and who are you to communicate your position. Sisi sio wanafiki tunajadili situation napa hatutafuti u DC wala upambe kwenye timu so and so, we are above that. We are saying the truth that mkulu hana strategy na approach yake ni poor. hatuzunguzii hawa na wale hapa Tanzania ni yetu sote sio yenu na wao wanaowatumia. Kimenuka sasa wanoawatumia hawa uwezo wa kuwalinda any more, the reality is that you are totally exposed na mnashughulikiwa sasa kwa kuwa watu wametokwa na huruma. Hivi utamhurumiaje mjeshi anayewavunja watu miguu, tena vijana kama wewe kwa vile tu, si waumini wa chama chako cha CCM (baba wa kambo).