DAR: Askari Polisi wanne wauawa na raia 2 wajeruhiwa, silaha zaporwa!

Kunataarifa kuwa askari wanee wameuliwa kwa kupigwa risasi na watu wanaohisiwa kuwa majambazi. Wakapora siraha.

Ukweli tukio kama hili tuweke tofauti zetu za vyama, dini, pembeni tukemee kwa pamoja.

Jiulizeni kama RAIA NDIYO pekee wangekuwa wameuliwa kwenye tukio, kelele zibgepazwa kwa jeshi la POLISI kuwa wamezembea.Sasa vijana wenzetu wamejitoa kufia NCHI Kuna watu wanakejeri.


Pia bunduki zilizoporwa hatujui zitatumika wapi na tukio gani. Huenda ujangiri ukaongezeka, ujambazi ukaongezeka, utekaji WA mabasi n.k
Leo unaweza kushangilia lakini kesho ukalia na lusaga meno, au ukaliliwa.

WITO KWA JESHI LA POLISI
Ningependa kushauri mambo matatu jeshi letu lenye uaminifu mkubwa.

1.Liwe karibu na RAIA ili lipate taarifa za kiintelijensia. Maana maadui ni sehemu ya JAMII, wasitishe watu wataogopa HATA kuwapa taarifa nyeti kama wanazo kuhusu waharifu

2.Wajenge utamaduni wa political neutrality, wasiegemee upande wowote wa CHAMA, kufanya hiyo kunaleta manung'uniko upande ambao unahisi kuonewa. Pia mtoa taarifa ya uharifu kwa POLISI hstujui ni CHAMA gani. Anaweza akapuuzia kutoa taarifa KWA kukosa imani na jeshi hili.

3.Chunguzeni uaminifu ndani ya jeshi lenu. Huenda Kuna POLISI wasio waaminifu wanao lihujumu jeshi letu tukufu. Wakigundulika muwatumbue.
 
Kunataarifa kuwa askari wanee wameuliwa kwa kupigwa risasi na watu wanaohisiwa kuwa majambazi. Wakapora siraha.

Ukweli tukio kama hili tuweke tofauti zetu za vyama, dini, pembeni tukemee kwa pamoja.

Jiulizeni kama RAIA NDIYO pekee wangekuwa wameuliwa kwenye tukio, kelele zibgepazwa kwa jeshi la POLISI kuwa wamezembea.Sasa vijana wenzetu wamejitoa kufia NCHI Kuna watu wanakejeri.


Pia bunduki zilizoporwa hatujui zitatumika wapi na tukio gani. Huenda ujangiri ukaongezeka, ujambazi ukaongezeka, utekaji WA mabasi n.k
Leo unaweza kushangilia lakini kesho ukalia na lusaga meno, au ukaliliwa.

WITO KWA JESHI LA POLISI
Ningependa kushauri mambo matatu jeshi letu lenye uaminifu mkubwa.

1.Liwe karibu na RAIA ili lipate taarifa za kiintelijensia. Maana maadui ni sehemu ya JAMII, wasitishe watu wataogopa HATA kuwapa taarifa nyeti kama wanazo kuhusu waharifu

2.Wajenge utamaduni wa political neutrality, wasiegemee upande wowote wa CHAMA, kufanya hiyo kunaleta manung'uniko upande ambao unahisi kuonewa. Pia mtoa taarifa ya uharifu kwa POLISI hstujui ni CHAMA gani. Anaweza akapuuzia kutoa taarifa KWA kukosa imani na jeshi hili.

3.Chunguzeni uaminifu ndani ya jeshi lenu. Huenda Kuna POLISI wasio waaminifu wanao lihujumu jeshi letu tukufu. Wakigundulika muwatumbue.
Mkuu umeongea point. Lakini polisi nao wajirekebishe. Mbali na kuonyesha upendeleo kwa vyama vya siasa pia wamekuwa wakitubambikia kesi na kutuomba rushwa. Hizi nazo ni sababu zinazofanya tuwachukie.
 
Wewe wewe, sasa mwandishi wa habari kama ulimwengu umkute pale akiuliza swali nani angejibu? Acha utani mkuu! Au Nyaronyo!
 
lesson learnt..death is real..even for the strongest few aren't excusable-RIP all
 
Mwambieni Mwigulu aache kuvaa mavazi ya polisi . Anajua wanaoyavaa wamesota kiasi gani mpaka kustahili kuvaa magwanda hayo? Akipewa silaha anaweza kwenda mstari wa mbele? Aache kuwakoga wenye fani zao.

Pole kwa ndugu, jamaa, marafiki na polisi kama taasisi.
 
Kuna novel moja ya Chase inaitwa An ear to the ground

Main character WA hiyo novel, An Ear To The Ground alikuwa anaitwa Al Barney! Alikuwa anatiririka kwa data balaaa! Umenikumbusha mbali Mkuu mshana jr!

RIP Polisi wetu!
 
Tukio la polisi wanne kuuawa huko Mbande, Mbagala linatisha. Lakini pia taarifa kwamba ni masuala ya siasa yaliyochochea tukio hilo huenda jeshi letu limefanya haraka. Ukweli ambao hata polisi wenyewe wanaukubali ni kwamba maeneo ya Mbande hadi Mkuranga ni sugu kwa vitendo vya uhalifu. Pori la Mkuranga linatumika kama moja ya maficho ya wahalifu yakiwemo majambazi. Polisi wanapaswa kuelewa kwamba wahalifu wengi jijini na hasa wa ujambazi hujificha pembezoni mwa mji na hii inatokea hata katika baadhi ya miji. Tumeona Amboni, Tanga, Buhongwa, Mwanza nk. Ombi langu kwa polisi ni kuanzisha kanda maalum ya polisi kwa eneo la Mbande Mkuranga. hoja kwamba ni UKUTA yaweza isiwe na mashiko na ina madhara makubwa sana. Kwa mfano. Taarifa hiyo itajenga uadui kati ya polisi na wapinzani, polisi wakiwaona wanasiasa wa upinzani kama wauaji wao. Kama polisi watajenga imani hiyo katika fikra zao itakuwa mbaya sana kwa raia wanasiasa. Polisi wetu wajifunze kuepuka kutoa taarifa zinazotuhuma kundi la watu fulani katika jamii ambalo lina mapenzi yake katika imani yake kama dini,mila/desturi na siasa. Binafsi naamini Mbande ni uhalifu wa ujambazi, bahati mbaya umechukua uhai wa walinda amani wetu, polisi wanne. Mbande, Mkuranga ni maeneo yasiyo salama, polisi wachukue hatua na kufanya uchunguzi wa kina wa kiintelinjensia, lakini madai kwamba mauaji hayo yanahusishwa na siasa ni taarifa yenye madhara makubwa kwa jamii maana kwa maana nyingine sasa polisi wanataka kuaminisha umma kwa kuhusisha siasa na wanasiasa na vitendo vya uhalifu. Jeshi letu la polisi lijipange, na lione mbali zaidi ya kujiingiza katika mihemko ya kisiasa. Poleni sana.
 
Polisi wawe na busara, waache kupendelea ccm, waache kubambikia watu kesi, wajitahidi kujenga urafiki hata wa kinafiki na walalahoi ili kuweza kuimarisha ulinzi na usalama wa watu na mali zao.
 
The Hyper;
To hate others si kimungu hata kidogo. Nadhani ungewaomba wajipime kwa matukio kama haya. Alivyouliwa huyu askari mdogo ndivyo pia aweza uliwa huyo mkuu.
Huenda ni "Sniper" aliifanya kazi hiyo kwa zile silaha zetu zilizoibwa sehemu sehemu, sasa wanawarudi. Hivyo, hii ni barua tosha kwa polisi kuwa; Hampo salama. Hivyo, wajipime tu wameharibu wapi uhusiano. Vinginevyo, who knows the next victim??
Lakini, Do not hate your neighbor.

Well said mkuu,nimekusoma vizuri!
 
Back
Top Bottom