Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,104
- 26,070
Ndio,wataje!Usipowataja wewe ni mpuuzi na mchochezupinzani nao nisehem ya wahalifu au tuwataje...........
Ndio,wataje!Usipowataja wewe ni mpuuzi na mchochezupinzani nao nisehem ya wahalifu au tuwataje...........
Mmmh!!!Kuna Uzi humu ndani, ulitabiri haya ya askari kuvamiwa na kuporwa silaha na raia, yametimia sasa!
polisi wengi hawana vitambulisho,sijui kama itawezekana katika utendaji wao.Kwani polisi wetu wakibadilishana lindo, huwa umakini wao hupungua? Au nitukio kama matukio mengine.
Tahadhari ya Kamanda kuwa kila ''askari akija kwako aoneshe kitambulisho nimeipenda"
Ili ujisafishe kuwa sio mzushi kama wale wenginekwa hiyo nikueleze wewe hapa kama nani?
hakuna haja hiyoIli ujisafishe kuwa sio mzushi kama wale wengine
Tatizo jeshi letu la polisi limekuwa likichanganya siasa katika utendaji wake,thus why wananchi hawalipendi.
Hii inapelekea watu washangilie hata vifo vya askari.
Ni lazima polisi wajiulize wapi wamekosea.
Na,je raia wakipata silaha kwa wingi polisi watahimili??
Binafsi sifurahishwi na utendaji wa polisi kwa sasa,i hate them!!
Polisi wanajenga taswira mbaya sana mbele ya jamii.tutegemee matukio mengi ya aina hii kwa siku za mbeleni
Kuna maeneo mengine ambayo roho za watu huwekwa baada ya kufa huwa hayana mapumziko kabisa. Hivi kuna pumziko jehanamu?Mungu awapumzishe wanapostahili
MWEREVU TU NDO ATAEELEWA HII NCHI INAENDAJE KWA SASA!!!Mungu awapumzishe wanapostahili
aisee police wanne??? Ni hatari hii yaan kwa police wanne kuuwawa kwa mara moja ni hasara kubwa sana kwa taifa tunaomba serikali ifanye msako mkali sana katika hili kwakweli.Ni makosa makubwa kuua wasimamizi wa amani katika jamii.