Dar: Aliyemuua mkewe na kuuchoma mwili kwa mkaa awatisha Wanahabari

Kauli hii isichukuliwe poa... Afungwe pingu mikononi na miguuni anapoenda mahakamani...

Atakuja kung'an'gana na pua ya mmoja wao na kuitafuna.

Be serious Mahakama.
 
Sasa ana uhakika gani kama atashinda kesi ya mauwaji ili aje apambane na wanahabari huku uraiani...nahisi atakuwa na mental-disorder
Soma vizuri amesema atafanya jambo la kuishangaza mahakama kwa Waandishi
 
Sasa ana uhakika gani kama atashinda kesi ya mauwaji ili aje apambane na wanahabari huku uraiani...nahisi atakuwa na mental-disorder
Mbona unakurupuka nawewe,kasema atawafanya mbaya ndani yamahakama...sio vizuri kuchangia kitu hujakielewa
 
Uzuri wake ametoa onyo tayari,sasa huyo hakimu Simon anasema ni jambo la kawaidi tu kupigwa picha bila kuchukua tahadhari..

Atakuja afumue mtu kwa camera yake mwenyewe tuje tujazane hapa kusema R.I.P mwandishi wa habari.
 
Timing au sio...???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…