Dar: Aliyemuua mkewe na kuuchoma mwili kwa mkaa awatisha Wanahabari

Kauli hii isichukuliwe poa... Afungwe pingu mikononi na miguuni anapoenda mahakamani...

Atakuja kung'an'gana na pua ya mmoja wao na kuitafuna.

Be serious Mahakama.
 
Uzuri wake ametoa onyo tayari,sasa huyo hakimu Simon anasema ni jambo la kawaidi tu kupigwa picha bila kuchukua tahadhari..

Atakuja afumue mtu kwa camera yake mwenyewe tuje tujazane hapa kusema R.I.P mwandishi wa habari.
 
Mkuu huna haja ya kutukana....kauli aliyoitoa haitakiwi ichukuliwe poa. Kwa mazingira yaliyopo mahakaman hata sekunde 2 tu zinatosha mtu kufanya jambo na kumuathiri mtu mwngne. Kumbuka huyo sasa hv ni kama mbogo aliyejeruhiwa hana cha kupoteza, yuko tayari kwa lolote. Unaweza ukakaa karibu tu akakurukia kichwa kimoja tu:) ukazima hapohapo. Yeye akaenda kuhukumiwa basi mchezo ukawa umeishia hapo
Timing au sio...???
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom