Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma vizuri amesema atafanya jambo la kuishangaza mahakama kwa WaandishiSasa ana uhakika gani kama atashinda kesi ya mauwaji ili aje apambane na wanahabari huku uraiani...nahisi atakuwa na mental-disorder
Kweli kabisaKauli hii isichukuliwe poa... Afungwe pingu mikononi na miguuni anapoenda mahakamani...
Atakuja kung'an'gana na pua ya mmoja wao na kuitafuna.
Be serious Mahakama.
Mbona unakurupuka nawewe,kasema atawafanya mbaya ndani yamahakama...sio vizuri kuchangia kitu hujakielewaSasa ana uhakika gani kama atashinda kesi ya mauwaji ili aje apambane na wanahabari huku uraiani...nahisi atakuwa na mental-disorder
Mnauhakika yeye ndo kaua,mbona mnahukumuAtakuja kuishangaza mahakama.
Hahahah na yenyewe itamshangaza itakachomfanya
Mi naongelea huo mkwara alioupiga kuwa ataishangaza mahakama.Mnauhakika yeye ndo kaua,mbona mnahukumu
Sasa we unadhani huyo muuaji akiwa hapo mahakamani wanamuangalia kama mahindi ya kuchoma...hiyo ni kupagawa siyo yeye hapoSoma vizuri amesema atafanya jambo la kuishangaza mahakama kwa Waandishi
We kilaza..Sasa we unadhani huyo muuaji akiwa hapo mahakamani wanamuangalia kama mahindi ya kuchoma...hiyo ni kupagawa siyo yeye hapo
Haya mwerevu....We kilaza..
nahofia asije fanya jaribio la kujipaka kinyesi hapo nahakamani.Hana cha kupoteza. Kuna siku atawavulia nguo zote. Bado mtampiga picha?
Timing au sio...???Mkuu huna haja ya kutukana....kauli aliyoitoa haitakiwi ichukuliwe poa. Kwa mazingira yaliyopo mahakaman hata sekunde 2 tu zinatosha mtu kufanya jambo na kumuathiri mtu mwngne. Kumbuka huyo sasa hv ni kama mbogo aliyejeruhiwa hana cha kupoteza, yuko tayari kwa lolote. Unaweza ukakaa karibu tu akakurukia kichwa kimoja tu ukazima hapohapo. Yeye akaenda kuhukumiwa basi mchezo ukawa umeishia hapo
Sawa mtalamu,,vipi katika jicho la kiroho unaona Nini ndani yake mkuu? NB:hua huniangushi kwa haya mamboHe is revealing his true inside....
Hana cha kupoteza,anaweza fanya lolote. Waanze kumfunga pingu. Maana kitendo cha kumchoma mkewe waliekuwa wanachomekeana vikojoleo ni cha ajabu sana.nahofia asije fanya jaribio la kujipaka kinyesi hapo nahakamani.
aisee daaaaNi suala la muda tu
Atakuja kuwashangaza wafungwa wenzake alivyo mrembo huko gerezani
Wanao mwangalia nawao ni binadamu Lolote linaweza kutokeaSasa we unadhani huyo muuaji akiwa hapo mahakamani wanamuangalia kama mahindi ya kuchoma...hiyo ni kupagawa siyo yeye hapo
Shetani kasimamia ukuchaSawa mtalamu,,vipi katika jicho la kiroho unaona Nini ndani yake mkuu? NB:hua huniangushi kwa haya mambo