Dar: Afungwa maisha jela kwa kumlawiti mtoto wa miaka tisa

Atakua ostadhi tu uyo
Wewe kweli ni shetan kama ulivyojiita mwenyewe. Hao mapadre kila siku wanawalawiti watoto na kanisa linakemea kila siku umeshawahi kusikia mapadre ni waislamu?

Huyo papa wa kanisa katoliki kila mara amekuwa akiomba msamaha kwa niaba ya kanisa kwa visa vya ulawiti makanisani.
 
Sawa sheikh .muache kuf*ra watoto kwa mgongo wa kaswida
 
Sawa sheikh .muache kuf*ra watoto kwa mgongo wa kaswida
Kashfa za ulawiti makanisani huwa unazisikia?

Nachukizwa sana na vitendo vya ulawiti sio kwa waislam,wakristu wala kwa wasio na dini.

Vitendo hivi havikubaliki kamwe na huwa havihusiani na imani yoyote maana makanisani tunavisikia visa hivi tena papa wa kanisa katoliki anasimama hadharani nakuomna msamaha kwa jamii ya ulimwengu.

Vivyo hivyo vinatokea kwa upande wa uislam na hata wasiokuwa na dini. Tuache chuki zisizo na faida kwa namna yoyote ile.
 
Wewe nawe hueleweki..unachukia vitendo hivyo..ila unamlinda ostaz..

#MaendeleoHayanaChama
 
fuckin rubbish and useless guy...

kumuweka jela miaka 30 ni kupoteza rasilimari zetu walipa kodi... kama ushahidi wote uko clear atumbukizwe kwenye pipa lenye sumu ya cyanide, au akatwekatwe vipande wakale papa huko deep sea...
 
Atakua ostadhi tu uyo
 
Ila what if huyo mtoto kachanganya mafaili na kumpoint mtu tofauti ? 🤷🏽‍♂️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…