Bilionaire kekeman
Senior Member
- Nov 26, 2022
- 142
- 823
"Kuna mabinti wanaishi mjini hawana kazi yoyote, hawana duka, wala Saloon lakini anaishi maisha ya juu kuliko wale mabinti wanaojishughulisha kwasababu anaikuta mijanaume mizembemizembe huku mitandaoni anaiokota hela anakusanya hela za kutosha'
"Yeye kila siku anaamka na ubunifu, leo kapiga picha kaachia nani yake nyuma mara kaachia mapaja wanaume madenda yanawatoka hela zinaenda tu, mnasema huyu binti anajidhalilisha wakati mwenzenu yuko kwenye biashara na wanunuzi ni wale ambao hawezi kukutana nao wala kuonana nao lakini wanamtumia mihela"
"Kuna wanawake wamejenga nyumba, wamepanga majumba ya mamilioni kwasababu ya pesa za mijanaume yenye tamaa halafu yeye ametulia na mpenzi wake wanapanga michongo wamenunua simu nzuri mwanaume anampiga mpenzi wake picha za mitego wanazirusha mitandaoni pesa za mijanaume mijinga zinaingia wanaishi kwa raha, wanaume zindukeni, lakini pesa sio kitu ya kumnyima mwanamke mwenye wowowo."- Daniel Mgogo.
"Yeye kila siku anaamka na ubunifu, leo kapiga picha kaachia nani yake nyuma mara kaachia mapaja wanaume madenda yanawatoka hela zinaenda tu, mnasema huyu binti anajidhalilisha wakati mwenzenu yuko kwenye biashara na wanunuzi ni wale ambao hawezi kukutana nao wala kuonana nao lakini wanamtumia mihela"
"Kuna wanawake wamejenga nyumba, wamepanga majumba ya mamilioni kwasababu ya pesa za mijanaume yenye tamaa halafu yeye ametulia na mpenzi wake wanapanga michongo wamenunua simu nzuri mwanaume anampiga mpenzi wake picha za mitego wanazirusha mitandaoni pesa za mijanaume mijinga zinaingia wanaishi kwa raha, wanaume zindukeni, lakini pesa sio kitu ya kumnyima mwanamke mwenye wowowo."- Daniel Mgogo.