Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,377
well nafkiri nisiwachoshe sana niende kupiga wazi hii maada gonjwa linaitwa FACEBOOK ADDICTION yaani uraibu wa facebook wengi wenu mnalo ila ni vigumu kuliju bila kujuzwa symptom zake ni hizi zifuatazo
1.kusisimka kwa mwili kila unaposikia au kuona anything about facebook
2.kuwa na wakati mgumu vocha inapisha nina jamaa alibeba shuka langu akalipiga mnada kisa vocha
3.kuwa na mazoea ya kununua daily bundles kwa ajili ya facebook
4.kuwepo kwa majonzi iwapo meseji utakayotuma haita jibiwa ndan ya dakika 30
5.kuwa na marafiki zaidi ya 400 uliowatumia friend request na mara nyingi wengi huwajui NB SIO WALIOKUMBA URAFIKI
6.kuchelewa kulala kwa ajili ya facebook
7. kuvisit face book zaidi ya mara 8 kwa siku (kipimo caha bangi ni kete ila hiki ni 7 shots per day)
MADHARA YAKE UKIENDELEA
1.kukaka kazini au shuleni kwa ajili ya kuchelewa kulala
2.kutumia facebook zaidi kuliko masomo hii husababisha kufeli
.
1.kusisimka kwa mwili kila unaposikia au kuona anything about facebook
2.kuwa na wakati mgumu vocha inapisha nina jamaa alibeba shuka langu akalipiga mnada kisa vocha
3.kuwa na mazoea ya kununua daily bundles kwa ajili ya facebook
4.kuwepo kwa majonzi iwapo meseji utakayotuma haita jibiwa ndan ya dakika 30
5.kuwa na marafiki zaidi ya 400 uliowatumia friend request na mara nyingi wengi huwajui NB SIO WALIOKUMBA URAFIKI
6.kuchelewa kulala kwa ajili ya facebook
7. kuvisit face book zaidi ya mara 8 kwa siku (kipimo caha bangi ni kete ila hiki ni 7 shots per day)
MADHARA YAKE UKIENDELEA
1.kukaka kazini au shuleni kwa ajili ya kuchelewa kulala
2.kutumia facebook zaidi kuliko masomo hii husababisha kufeli
.