Wakitoka hapo ni madeni na kuishia kwenye chumba au nyumba ya kupanga. Kwa nini uteketeze milioni 20 kwa usiku mmoja wakati hata kiwanja wala nyumba huna?
Igeni mifano kwa nchi zilizoendelea muone harusi zao watu wa kipato cha chini wanavyofanya simple. Na hakuna michango, kukodisha hall, send off, kitchen party, vunja kamati na taka taka zoote.
Wakitoka hapo ni madeni na kuishia kwenye chumba au nyumba ya kupanga. Kwa nini uteketeze milioni 20 kwa usiku mmoja wakati hata kiwanja wala nyumba huna?
Igeni mifano kwa nchi zilizoendelea muone harusi zao watu wa kipato cha chini wanavyofanya simple. Na hakuna michango, kukodisha hall, send off, kitchen party, vunja kamati na taka taka zoote.
Yoyo anamaanisha kwamba unga wa bibi harusi umeshaumuka.......:mimba:
Mungu hapendi watu waoane wakiwa katika hali hii......mwanaume na mwanamke wameshajuana kimwili na kutunga mimbawaacheni watu wafanye mambo yao wanavyotaka wao na sio mnavyotaka ninyi, Mungu angetaka mfanye mapenzi yake kwa nguvu angewalazimisha ila amewaacha muamue wenyewe mnavyota ila hakuna neno ambalo mtaacha kulitolea hesabu yake!
Mungu hapendi watu waoane wakiwa katika hali hii......mwanaume na mwanamke wameshajuana kimwili na kutunga mimba
![]()
Nyingi huwa hivi.....
Mungu hapendi watu waoane wakiwa katika hali hii......mwanaume na mwanamke wameshajuana kimwili na kutunga mimba