C lengo langu kukudanganya ila na wewe mdanganye mwenzako...
Juzi niliambiwa na bibi niwashe moto nikatafuta makaratasi sikupata..akanipa noti ya sh 5000 niwashie...
Kwetu tuna nawa mikono na soda kabla ya kula...
...eti Mwanaasha anataka aanze twisheni kwangu arudie masomo, nikikataa babaake ataita wazee azungumze nao. Sasa sijui nimfundishe au nipotezee tu!
obama yuko jamii forums
Baba yangu amenunua bahari ya hindi anataka aihamishie K,njaro.
Kwetu sisi tunakunya keki
aaah,alafu nimekumbuka kuna mtu alinisms ngoja nimchek,...aaaaagh,kumbe ni 50cent,huyu jamaa msumbufu eti anataka nimkopeshe