Dalili za mwanamke anayekupenda

Dalili za mwanamke anayekupenda

Inamaana sana hampendani?
Hapana sijamaanisha kuwa yalitokea kwangu ila najua kuwa zamani / miaka ya nyuma mabinti walikuwa wanapenda kwa kuonesha hizo elements na walikuwa wanapenda KWELI.
 
Hapana sijamaanisha kuwa yalitokea kwangu ila najua kuwa zamani / miaka ya nyuma mabinti walikuwa wanapenda kwa kuonesha hizo elements na walikuwa wanapenda KWELI.
Hata sasa wapo, ila ni ninyi ninyi mnawavuruga hadi wanakuwa hivyo walivyo sasa.

Kupenda ni jukumu/agizo lenu,tafuta kuheshimiwa tu.
 
Hata sasa wapo, ila ni ninyi ninyi mnawavuruga hadi wanakuwa hivyo walivyo sasa.

Kupenda ni jukumu/agizo lenu,tafuta kuheshimiwa tu.
Kwanza hakuna mtu anajua kumuumiza mtu kama wewe, Mungu anakuona.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Hizi ni dalili za dmeu anayemegwa huko nje....kila akimegwa anakuletea kijizawadi kuondoa haibu na anakuulizia kwa wenzako kutaka kujuwa kama huko nyumbani ili aendelee kupekuliwa. bila wasi wasi
 
Back
Top Bottom