sergio 5
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 9,741
- 11,150
Hakuna mkuuHahahaaah.........hata wa jirani hapo haonyeshi dalili yoyote??
Hakuna mkuuHahahaaah.........hata wa jirani hapo haonyeshi dalili yoyote??
Yakuombwa hela mara kwa mara haipo???Maana mimi nahisi napendwa pale ninapoombwa pesa* Hupenda kukuona mara kwa mara hata kama hajapata taarifa za ugonjwa.
* Hupenda kukupigia sim mara kwa mara hata kama umelala.
* Hupenda kukuletea vizawadi kila anapotoka safarini.
* Hupenda kujikesha hata kama haujamchekesha.
* Hupenda akae na wewe kila wakati hata kama una kazi zako.
* Hupenda kukuulizia kwa watu wako wa karibu hata kama amekuona sehemu.
Mwenye nyongeza aongezee.............
Sent using Jamii Forums mobile app
umenena mkuu, mambo ya kuumizana moyo ya nini?Mi hua nasema kama mwanaume : usitafute kupendwa na Mwanamke.
Tafuta kumpenda Mwanamke.
Ukipendwa angali haumkubali haitakua na tija yoyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unanicheka?
umenifurahisha mkuu, it seemz huwa unagunga macho na kuziba masikio kabisa usione walakusikia kuwa unapendwaMbona unanicheka?
ZILIPENDWA* Hupenda kukuona mara kwa mara hata kama hajapata taarifa za ugonjwa.
* Hupenda kukupigia sim mara kwa mara hata kama umelala.
* Hupenda kukuletea vizawadi kila anapotoka safarini.
* Hupenda kujikesha hata kama haujamchekesha.
* Hupenda akae na wewe kila wakati hata kama una kazi zako.
* Hupenda kukuulizia kwa watu wako wa karibu hata kama amekuona sehemu.
Mwenye nyongeza aongezee.............
Sent using Jamii Forums mobile app
Amna cha kuziba masikio wala kufunga macho hakuna anayenipenda kutokana kilichotajwa hapo juuumenifurahisha mkuu, it seemz huwa unagunga macho na kuziba masikio kabisa usione walakusikia kuwa unapendwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmh sawa banahAmna cha kuziba masikio wala kufunga macho hakuna anayenipenda kutokana kilichotajwa hapo juu
Kwa dalili hzo duniani hakuna anae nipenda
Ewaaaa....na naongezea mwanamke omba Mungu mwanaume akupende!Mi hua nasema kama mwanaume : usitafute kupendwa na Mwanamke.
Tafuta kumpenda Mwanamke.
Ukipendwa angali haumkubali haitakua na tija yoyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Si bora hata mwanamke upendwe, hakunaga hiyo fomula!umenena mkuu, mambo ya kuumizana moyo ya nini?
vzr mwanaume aanze kupenda bhana na sio mwanamke unaanza tu nakwambia uombe Mungu ulikopenda upendwe mbali na hapo jeraha la moyo litakuhusu