mamsapkhan
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 843
- 267
&umelala uwoo umelala uwoo umelala uwo mtarimbo umelala doorooo&
kwisha habari yako hapo.,,..
Hahaha uwiii mbavu Zangu mie
&umelala uwoo umelala uwoo umelala uwo mtarimbo umelala doorooo&
kwisha habari yako hapo.,,..
Ukiona Mwanamke anaanza kuimba mashairi ya taarabu ndani ya nyumba ujue ni dalili za kukuchoka! Tena anaimba mistari mikali mikali. Yaani kila ukirudi unakutana na mistari mipya!
Wadau mnalionaje hili, kuna mfanyakazi mwenzangu amepatwa na hii hali yupo stressed haelewi kinachoendelea. Kuna mstari mmoja kaniambia sema nimeusahau ila hauleti heshima katika ndoa ama mahusiano.
Naomba mnitajie mistari ile yenye kuudhi nikiiona nitaiweka halafu tuambiane kama inaleta heshima ktk ndoa.
From no where mkeo baada ya kuzoeana sana anakuambia "umedandia treni kwa mbele" bila shaka hz ni dalili za kukuchoka.
dawa ni moja tu, ye akitoa maneno kwenye taarabu, we toa kwenye HIPHOP
mf niki m'bishi n kibao chake cha kuitwa michepuko ye anasema 'mpenzi wako akikuita special jua kuna mtumba'
&umelala uwoo umelala uwoo umelala uwo mtarimbo umelala doorooo&
kwisha habari yako hapo.,,..
Hahaha uwiii mbavu Zangu mie
Ukiokota mwanamke kwenye rusha roho labda...decent women hawaaimbii waume zao taarab
This is major stereotyping!
Tatizo siyo nyimbo za taarab.
Kama kuna tatizo basi ni tatizo la mtu na maadili yake lakini si nyimbo za aina au namna fulani.
Hivyo sioni uhusiano wa ustahifu/mwenendo mwema (decency) na taarab.
Mwanamke anaweza akamwimbia mumewe taarab na bado akawa mwenye uadilifu mkubwa sana kuliko anayemwimbia mumewe nyimbo za injili.
mkuu hapa issue ni kwamba aina ya maneno anayoyaimba yanareflect negative altitude. Mwanzoni wa mapenz yenu hazikuwepo, kadiri siku zinaenda anakuimbia taarabu zenye maneno yanayobring negative altitude in ur mind aka mipasho, unataka kusema hapo hakuna tatizo?
Kwa hiyo tatizo ni mtu, maneno au taarab?
Je akitumia maneno hayo hayo kwenye (kuimba) neo-soul, country, au rhythm and blues bado utazilaumu hizo genres kuwa ndo tatizo?
mkuu wimbo siyo tatizo, tatizo ni aina ya maneno anayoimba. Mfano anakuimbia, umelala huo, umelala huo, ....na ukute umelala kweli' hapo inakuwaje?