Dalili ya mvua ni mawingu

Dalili ya mvua ni mawingu

akimwaga mboga, na mi namwaga ugali, maji ya kunawa, chachandu n.k. na mimi ntaanza kuchana mistari ya kimombo kama T I-no mediocre
 
Kwanza taarab ndani kwangu mwiko. Katika nyimbo zilizokaa kushoto kwangu ni taarab..! That's why hata katika choices zangu nilihakikisha "mswahili" WA hivyo Hana nafasi kwangu.
 
Ukiona Mwanamke anaanza kuimba mashairi ya taarabu ndani ya nyumba ujue ni dalili za kukuchoka!, tena anaimba mistari mikali mikali. Yaani kila ukirudi unakutana na mistari mipya.

Wadau mnalionaje hili, kuna mfanyakazi mwenzangu amepatwa na hii hali yupo stressed haelewi kinachoendelea. Kuna mstari mmoja kaniambia sema nimeusahau ila hauleti heshima katika ndoa ama mahusiano.

Naomba mnitajie mistari ile yenye kuudhi nikiiona nitaiweka halafu tuambiane kama inaleta heshima ktk ndoa.

From no where mkeo baada ya kuzoeana sana anakuambia "umedandia treni kwa mbele" bila shaka hz ni dalili za kukuchoka.

ukiona anaanz kuimba ujue ana kipaj mpeleke T.H.T ili aendeleze kipaji
 
tabia za watu wa pwani hizi.

Wala jamani tabia hizi zimeibuka asa iv na kila kona asa iv kila mtu anaimba taarab bt wengi walokuwa wastaarab km mm napenda taarab zenye maneno matamu kama asali. Namaanisha taarab asilia, huchoki kusikiliza maneno maridhawa na pia maneno yanafichwa sii hizi za kina mzee yusuf uchafu mtupu aibu ht kusikiliza na wakubwa zako eti zinaitwa rusha roho! Kiasi huyo mme awaze vibaya kwan zina kila aina ya vituko kazi mafumbo tuuu eti ndo zinapata soko.
 
Je ukimkuta anakuimbia ya laiti, njiwa peleka salamu, Tx mpenzi, nikumbatie pia zinakutia stress?
 
hawaziimbi hizo!

Huwa anaimba huu au

"Alhamdulillahi zangu ndo zinazokudhuru
Mabaya ukitenda kwangu silipizi nashukuru...
Iko safi nia yangu....sina rangi ya kunguru...
Uchawi si sifa yangu...naiepuka kufuru"

Hapo kama umetoka kuchepuka lazima upate stress....!
 
utaondoka mara ngapi ndugu? Na dawa ya tatizo sio kulikimbia, ni kulitatua, kulingana na mjumbe mmoja kabla ya kuoa na wewe angalau ujue miziki ya kufoka foka.

sio kuondoka kwa maana ya kuachana ( nenda some where poteza mda hapo) ukirud unafanya ya msingi siku imeisha
 
Ukiona Mwanamke anaanza kuimba mashairi ya taarabu ndani ya nyumba ujue ni dalili za kukuchoka!, tena anaimba mistari mikali mikali. Yaani kila ukirudi unakutana na mistari mipya. Wadau mnalionaje hili, kuna mfanyakazi mwenzangu amepatwa na hii hali yupo stressed haelewi kinachoendelea. Kuna mstari mmoja kaniambia sema nimeusahau ila hauleti heshima katika ndoa ama mahusiano. Naomba mnitajie mistari ile yenye kuudhi nikiiona nitaiweka halafu tuambiane kama inaleta heshima ktk ndoa. From no where mkeo baada ya kuzoeana sana anakuambia "umedandia treni kwa mbele" bila shaka hz ni dalili za kukuchoka.
akianza ivi: titititititiriiiiiiiiiiiiitititititititiiiiiiiiii wajifanya kuwabize kumbe walioko bize wanaendesha totota landcruser lx babu.
 
Akikuambia Kanitangazeeeeeeeeeeeee!!! Stukaa
 
Ukiona Mwanamke anaanza kuimba mashairi ya taarabu ndani ya nyumba ujue ni dalili za kukuchoka!, tena anaimba mistari mikali mikali. Yaani kila ukirudi unakutana na mistari mipya.

Wadau mnalionaje hili, kuna mfanyakazi mwenzangu amepatwa na hii hali yupo stressed haelewi kinachoendelea. Kuna mstari mmoja kaniambia sema nimeusahau ila hauleti heshima katika ndoa ama mahusiano.

Naomba mnitajie mistari ile yenye kuudhi nikiiona nitaiweka halafu tuambiane kama inaleta heshima ktk ndoa.

From no where mkeo baada ya kuzoeana sana anakuambia "umedandia treni kwa mbele" bila shaka hz ni dalili za kukuchoka.

Usijali baba watoto ntaimba gospel
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom