Msolo
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 2,350
- 3,011
Happy Sunday wana JF.
2 Timotheo 3:1-7 SUV
[1] Lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwako nyakati za hatari.
[2] Maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kutukana, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio safi,
[3] wasiowapenda wa kwao, wasiotaka kufanya suluhu, wasingiziaji, wasiojizuia, wakali, wasiopenda mema,
[4] wasaliti, wakaidi, wenye kujivuna, wapendao anasa kuliko kumpenda Mungu;
[5] wenye mfano wa utauwa, lakini wakikana nguvu zake; hao nao ujiepushe nao.
[6] Kwa maana katika hao wamo wale wajiingizao katika nyumba za watu, na kuchukua mateka wanawake wajinga wenye mizigo ya dhambi, waliochukuliwa na tamaa za namna nyingi;
[7] wakijifunza siku zote, ila wasiweze kabisa kuufikia ujuzi wa kweli.
-----------------------------------
2 Timothy 3:2-5 AMP
[2] For people will be lovers of self [narcissistic, self-focused],
lovers of money [impelled by greed],
boastful, arrogant, revilers,
disobedient to parents, ungrateful, unholy and profane,
[3] [and they will be] unloving [devoid of natural human affection, calloused and inhumane],
irreconcilable, malicious gossips, devoid of self-control [intemperate, immoral], brutal, haters of good,
[4] traitors, reckless, conceited, lovers of [sensual] pleasure rather than lovers of God,
[5] holding to a form of [outward] godliness (religion), although they have denied its power [for their conduct nullifies their claim of faith]. Avoid such people and keep far away from them.
2 Timotheo 3:1-7 SUV
[1] Lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwako nyakati za hatari.
[2] Maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kutukana, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio safi,
[3] wasiowapenda wa kwao, wasiotaka kufanya suluhu, wasingiziaji, wasiojizuia, wakali, wasiopenda mema,
[4] wasaliti, wakaidi, wenye kujivuna, wapendao anasa kuliko kumpenda Mungu;
[5] wenye mfano wa utauwa, lakini wakikana nguvu zake; hao nao ujiepushe nao.
[6] Kwa maana katika hao wamo wale wajiingizao katika nyumba za watu, na kuchukua mateka wanawake wajinga wenye mizigo ya dhambi, waliochukuliwa na tamaa za namna nyingi;
[7] wakijifunza siku zote, ila wasiweze kabisa kuufikia ujuzi wa kweli.
-----------------------------------
2 Timothy 3:2-5 AMP
[2] For people will be lovers of self [narcissistic, self-focused],
lovers of money [impelled by greed],
boastful, arrogant, revilers,
disobedient to parents, ungrateful, unholy and profane,
[3] [and they will be] unloving [devoid of natural human affection, calloused and inhumane],
irreconcilable, malicious gossips, devoid of self-control [intemperate, immoral], brutal, haters of good,
[4] traitors, reckless, conceited, lovers of [sensual] pleasure rather than lovers of God,
[5] holding to a form of [outward] godliness (religion), although they have denied its power [for their conduct nullifies their claim of faith]. Avoid such people and keep far away from them.