Dalili muhimu za mwanamke aliefika kileleni

Dalili muhimu za mwanamke aliefika kileleni

Mtazamo wako ni sehemu ya tatizo la wanawake kutofika kileleni...sababu ni hizi
1. Wanawake wengi kama si wote, jukumu la wao kufika kileleni wamewaachia wanaume.
2. Wanawake waposhiri tendo la ndoa/ngono wao badala ya kuwepo hapo kifikra na kihisia wanajiondoa kwa muda wote kupima perfomance ya mwanaume. Na mbaya zaidi wanakuwaga na majibu ya namna nzuri ya kufikishwa kilele lakini wanakaaga kimya ili tu waje waseme YULE HAMNA KITU
3. Wengine wanatuliaga tuliii kama vile hawapo hapo, wala hawajishughulishi ns yale yatakayowafikisha kileleni kiurshisi... WENGINE WANASUBIRIAGA TU MWANAUME AFIKE KILELE ILI AANZE KUTOA MAOMBI YA VITU MBALIMBALI SAMBAMBA NA KILELE..
Dah this is very true Mkuu.......love is psychology...na kama yy akijiondoa mchezon hatokaa ajue kukojozwa maana yake ni mini
 
Mwanamke akifika kileleni,misuli ya Papuchi hubana na kama dushe lipo ndani utaskia limebanwa kabisa,hapo jua umemkojolesha.

Pia ,chuchu zake,zitasimama,vile vidude vyeusi pale mbele.

Tatu,wengi wao hujamba!
Nlikuwa nimenuna sababu ya kukosa pesa mfukoni ila baada ya kusoma comment yako nikajikuta nacheka kidogo
 
ebhanaeee pale mwanaume utalembua tu na kulegeza sauti kama mtoto mchanga

yani unakua bwege na boya wa mwisho kwa utamu tu
Naskia mwanaume ukiwa unakojoa bs mtu akaja kukutia kidogo sindano takoni bs huwezi isikia!
 
Weka hapa wewe na si tujue

1. Mwanamke aliyefika kileleni hasahasa, kafika ki ukwelii huwa na Ishara gani baada ya mchezo!?

2. Na yule ambaye unakuwa ni kama umemchafua tu..yani umefanya sufuri..hujamfikishA popote huwa na ishara gani.!?

Samahani lakin. Poleni kwa majonzi
 
Back
Top Bottom