Dalili hizi za wanawake sio za kweli kabisa

Mtambuzi

Platinum Member
Oct 29, 2008
8,810
15,398
black-couple-talking-pf.jpg


Kuna baadhi ya wanaume huziona dalili za mwanamke kumtaka kimapenzi kwa namna ambayo siyo kabisa. Na ndio maana mara nyingi mwanamke anapomchangamkia mwanaume na kuwa naye karibu kimazungumzo katika hali ya kawaida, lakini mwenzake akaona kuwa hiyo ni dalili ya kupendwa na mwanamke huyo.

Na hiyo huwapa wakati mgumu sana pale wanapogundua kuwa mwanamke husika hakuwa na fikra za kuwa na uhusianao nao kimapenzi kama walivyodhani. Na hapo ndipo fedha na nguvu itatumika ili kuhakikisha anampata mwanamke huyo na wakati mwingine hata vitisho pale njia hizo mbili zinaposhindwa.

Yaani anaweza kuamini kabisa kuwa mwanamke fulani amempenda kimapenzi, wakati sio kweli. na anapomtongoza mwanamke huyo na kukataliwa, hapo ndipo mbinu chafu zinapoanza kutumika kwa kuwa wanaume hawakubali kushindwa na hasa katika jambo hilo.
Kwa kawaida wanawake na wanaume, wanayo mikabala tofauti katika kuonesha dalili za kupenda.

Wakati kwa mwanaume kuchekewa, kuchangamkiwa na na kutaniwa na mwanamke, kuna maana ya mwanamke huyo kumpenda mwanaume husika. Lakini kwa manamke, kufanya chochote kati ya hayo au kufanya yote hakuna maana ya kumpenda mwanaume husika.

Na hapo ndipo wanawake wanapotakiwa kuwa waangalifu pale wanapofanya masihara na baadhi ya wanaume maana wanaweza kutafsiri vibaya, ule utani na ukaribu wenu kwao.

Kila mwanamke anayo dalili ya kuonesha kuvutiwa na mwanaume lakini sio dalili za wazi kiasi hicho. Waswahili wanasema, 'ada ya mja hunena, muungwana ni vitendo.' kwa kawaida wanawake huonesha vitendo kuliko maneno....
 
Umejuaje baba,wanaume wengi hawalijui hilo,na sie wacheshi na watu wa masihara mbona tunakoma,coz mwisho wa siku tunaishia kuporomoshewa matusi na majina yote mabaya,jaman mwenzio ni story wala sina feelings hizo!!!
 
Mtambuzi tuekee hizo dalili za ukweli,tuwatambue maana sometime huwaga hatutaki kuchezewa na wasichana,tunawataka walioserious ili tujipe uhakika si unajua kumwagwa na chini nowmaaa!
 
aibu!!!
hamna lolote hapa kama kweli unamfeel kwanini usinene nae? vitendo plus maneno ndio mambo yanakwenda....
 
Mtambuzi tuekee hizo dalili za ukweli,tuwatambue maana sometime huwaga hatutaki kuchezewa na wasichana,tunawataka walioserious ili tujipe uhakika si unajua kumwagwa na chini nowmaaa!

Kila mwanamke anayo dalili ya kuonesha kuvutiwa na mwanaume lakini sio dalili za wazi kiasi hicho. Waswahili wanasema, 'ada ya mja hunena, muungwana ni vitendo.' kwa kawaida wanawake huonesha vitendo kuliko maneno....

Nimeshasema kwa wanawake ni hisia zaidi na vitendo kwa sana................ ngoja waje wenyewe watasema
 
Kuna baadhi ya wanaume huziona dalili za mwanamke kumtaka kimapenzi kwa namna ambayo siyo kabisa. Na ndio maana mara nyingi mwanamke anapomchangamkia mwanaume na kuwa naye karibu kimazungumzo katika hali ya kawaida, lakini mwenzake akaona kuwa hiyo ni dalili ya kupendwa na mwanamke huyo.

Na hiyo huwapa wakati mgumu sana pale wanapogundua kuwa mwanamke husika hakuwa na fikra za kuwa na uhusianao nao kimapenzi kama walivyodhani. Na hapo ndipo fedha na nguvu itatumika ili kuhakikisha anampata mwanamke huyo na wakati mwingine hata vitisho pale njia hizo mbili zinaposhindwa.

Yaani anaweza kuamini kabisa kuwa mwanamke fulani amempenda kimapenzi, wakati sio kweli. na anapomtongoza mwanamke huyo na kukataliwa, hapo ndipo mbinu chafu zinapoanza kutumika kwa kuwa wanaume hawakubali kushindwa na hasa katika jambo hilo.
Kwa kawaida wanawake na wanaume, wanayo mikabala tofauti katika kuonesha dalili za kupenda.

Wakati kwa mwanaume kuchekewa, kuchangamkiwa na na kutaniwa na mwanamke, kuna maana ya mwanamke huyo kumpenda mwanaume husika. Lakini kwa manamke, kufanya chochote kati ya hayo au kufanya yote hakuna maana ya kumpenda mwanaume husika.

Na hapo ndipo wanawake wanapotakiwa kuwa waangalifu pale wanapofanya masihara na baadhi ya wanaume maana wanaweza kutafsiri vibaya, ule utani na ukaribu wenu kwao.

Kila mwanamke anayo dalili ya kuonesha kuvutiwa na mwanaume lakini sio dalili za wazi kiasi hicho. Waswahili wanasema, 'ada ya mja hunena, muungwana ni vitendo.' kwa kawaida wanawake huonesha vitendo kuliko maneno....

...EHHH? ....some people need to grow up!
 
Mimi sioni ubaya wa mwanaume kumtongoza mwanamke kwa sababu yoyote ile, shida ni pale wanaume wanapokuwa wabishi kukubali matokeo. Kuna kipindi wanawake wanaweza kukutega ili akuone kama utamtongoza, ukijitusu ndipo anapokupa story zake kuwa mimi nina mume, boyfriend wangu, mchumba n.k Baada ya hapo ndipo sinema inapoanza kwa wanaume lakini hiyo haisaidii! Hivi mwanamke ukimtongoza unakuwa na matumaini ya kuanzisha kipindi kipya cha amani, upendo n.k, hivyo hivyo kuachana na kukubali matokeo kuwe kwa amani, upendo kabisa. Wito kwa wanaume ukijua kutongoza ujue na kukubali matokeo.
 
Umejuaje baba,wanaume wengi hawalijui hilo,na sie wacheshi na watu wa masihara mbona tunakoma,coz mwisho wa siku tunaishia kuporomoshewa matusi na majina yote mabaya,jaman mwenzio ni story wala sina feelings hizo!!!

yaaani, umeongea yote niliyotaka kusema.
 
Umejuaje baba,wanaume wengi hawalijui hilo,na sie wacheshi na watu wa masihara mbona tunakoma,coz mwisho wa siku tunaishia kuporomoshewa matusi na majina yote mabaya,jaman mwenzio ni story wala sina feelings hizo!!!
oooooh pole sana da Canta....wala usikome kwani kama uchesi na masihara ni hulka yako wala usijibanie bhana,na hilo la kupromoshewa matusi pole sana
 
Mimi uwa nakuwa mpole najua kubembeleza hata kama yupo mtu uwa anasahaulika kwa muda nikishapata nachoitaji nasepa zangu uzuri wanawake ni wepec wa kusahau.bora anichekee kuliko ale pesa yangu LAZIMA acheuwe for any way hata ikipita miaka i know there is single day il catch her !
 
I
Kuna baadhi ya wanaume huziona dalili za mwanamke kumtaka kimapenzi kwa namna ambayo siyo kabisa. Na ndio maana mara nyingi mwanamke anapomchangamkia mwanaume na kuwa naye karibu kimazungumzo katika hali ya kawaida, lakini mwenzake akaona kuwa hiyo ni dalili ya kupendwa na mwanamke huyo.

Na hiyo huwapa wakati mgumu sana pale wanapogundua kuwa mwanamke husika hakuwa na fikra za kuwa na uhusianao nao kimapenzi kama walivyodhani. Na hapo ndipo fedha na nguvu itatumika ili kuhakikisha anampata mwanamke huyo na wakati mwingine hata vitisho pale njia hizo mbili zinaposhindwa.

Yaani anaweza kuamini kabisa kuwa mwanamke fulani amempenda kimapenzi, wakati sio kweli. na anapomtongoza mwanamke huyo na kukataliwa, hapo ndipo mbinu chafu zinapoanza kutumika kwa kuwa wanaume hawakubali kushindwa na hasa katika jambo hilo.
Kwa kawaida wanawake na wanaume, wanayo mikabala tofauti katika kuonesha dalili za kupenda.

Wakati kwa mwanaume kuchekewa, kuchangamkiwa na na kutaniwa na mwanamke, kuna maana ya mwanamke huyo kumpenda mwanaume husika. Lakini kwa manamke, kufanya chochote kati ya hayo au kufanya yote hakuna maana ya kumpenda mwanaume husika.

Na hapo ndipo wanawake wanapotakiwa kuwa waangalifu pale wanapofanya masihara na baadhi ya wanaume maana wanaweza kutafsiri vibaya, ule utani na ukaribu wenu kwao.

Kila mwanamke anayo dalili ya kuonesha kuvutiwa na mwanaume lakini sio dalili za wazi kiasi hicho. Waswahili wanasema, 'ada ya mja hunena, muungwana ni vitendo.' kwa kawaida wanawake huonesha vitendo kuliko maneno....
Kutongoza ni kama art......mara nyingi kuna vitu vingi mwanaume anaviangalia (ikiwa ni pamoja na hayo uliyoyataja) na kufanya analysis ya likelihood ya kufanikiwa kabla hajaamua kutupa ndoana yake. Kama ana mashaka anaweza kufanya majaribio kadhaa ili kujiririsha na kiwango cha likelihood alichom rank potential target na kama kimevuka threshold(kila mwanaume ana yake) ndio atarusha ndoano.

Ni kweli katika huo mchakato zinaweza kutokea false alarms au mwanaume akashindwa kutafsiri baadhi ya signals kutoka kwa mwanamke na hivyo kufanya maamuzi yasiyo sahihi. Lakini kwa sehemu kubwa non verbal language ina sehemu kubwa sana katika mahusiano.....na kuna wakati verbally mtu anasema NO lakini clearly non verbally anasema YES.

Kumbuka wanawake wengi hawapendi kuonekana wao ndio wame initiate mahusiano, wengine hawapendi kuonekana 'maharage ya mbeya'....so vyote hivi in a way vinamlazimisha mwanaume aoneshe perseverance!
 
Masister tusaidieni basi hayo matendo mnayoweza kuyaonesha kwa mwanaume uliyemzimikia ili tufahamu jamani, itaturahisishia kazi.
 
Back
Top Bottom