Daktari: Mbasha hakubaka shemeji yake

Daktari: Mbasha hakubaka shemeji yake

huwezi kuthibitisha kesi bila jamhuri kuwa na ushahidi wa daktari. hata kama state attorney angeona ni lazima dr. angeturn hostile kwa nature ya kesi na inavyoattract public interest lazima state attorney asingekuwa na ujanja
sijajua kama unao uzoefu wa mahakama au unatumia uzoefu wa kwenye magazeti ya udaku. unataka kumaanisha kuwa ushahidi wa daktari anayejaza pf3 ndio ulioshikilia kesi yote?hahaha, what about ushahidi wa government chemisty/mkemia mkuu kuhusu DNA na ushahidi wa daktari ukawa haujaletwa, what if ushahidi wa picha au video clip ukiwepo na ushahidi wa doctor kwa pf3 ukaachwa kuletwa, what if mashahidi waliomkuta kwa macho kama wangekuwepo wakaja kuthibitisha, ukaunganisha na circumstantial evidence lakini ushahidi wa doctor ukawa haujaletwa, utasema hiyo kesi haijawa proved beyond reasonable doubt? na ni kwanini case laws zilishasema ushahidi wa expert sio conclusive ni persuasive tu?yaani sio binding.

ninajaribu kukueleza hayo ili kuona kuwa huyo doctor hajashikilia kesi yote kwa hako ka pf3 kwasababu alipokuwa anambaka hakumlazimisha wakaangushana na kuchubuana na kuvunjana mikono etc. inaonekana walikubaliana na kwenye uchii wa demu kulilainika utelezi mashine ya mbasha ikaingia bila michubuko yeyote. hapo doctor ana faida gani? wakati hataona michubuko ya mwili wala ya k?

ulishawahi kuiona pf3 tangu uzaliwe na namna inavyojazwa?unajua kwenye pf3 doctor anajaza nini?

tukija kwa prosecutor, kwani prosecutor hakumwandaa shahidi doctor kabla ya kuingia, na kama aliona doctor hasapoti ushahidi wake aliingia naye wa nini? na kama aliingia naye na aka turn hostile kwanini hakumshughulikia kudiscreit ushahidi wake, na kama kweli alijua doctor anaongea ukweli na labda ameona hakuna kesi ya msingi labda mbasha anaonewa, kwanini wanaendelea kuishikilia hiyo kesi, kwanini wasiifute? kwasababu wakili wa serikali anaweza kufuta kesi chini ya s.91(1) na 98(a) CPA. na anayo remedy ya kuja kufungua tena baadaye ushahidi wake ukikaa vizuri.

ukiwa mahakamani, hakuna kesi yenye nature ya public au ya mtu wa kawaida, kinachotakiwa pale ni procedure tu, manjonjo yote unaacha pale mangoni unapoingia mahakamani, mkifika pale inaongea procedure ya sheria tu.
 
fununu gani nimeongelea hapo? kama unaongelea kuhusu iyo DNA kama ndio fununu, how do you know (we hunijui) kama pengine nilishaliona hilo jalada au hiyo repodrt ya mkemia? after all, hapa hatupo mahakamani na tunaongea sio na wanasheria tu na laymen pia hivyo nikisema fununu kuna jambo zito limejificha ndani na kama hawatacorrupt i am telling you jamaa anapigwa 30.

wewe vipi kwa upande wako, mbona hata facts haujawahi kuongea wala fununu tu haujawahi?hahahah. na kama wewe utakuwa lawyer na unaiamini pf3 kama ndio inaweza base ya defence yako basi ulisomea chini ya mti au ulisoma online studies. and i am sure, kama kweli doctor katoa ushahidi kama huo, basi alikuwa hostile kwa prosecution na prosecution walimwacha aseme hivyo ili kumuokoa mbasha labda kwasababu ameshawacorrupt au labda kuna amri imetoka huko juu kuagiza mbasha asaidiwe ndio maana prosecutor hajamdeclare hostile doctor, au labda prosecutor hana uzoefu? No, namjua Nassoro Katuga ni mzoefu tu, sasa sijui alipitiwa au ilikuwaje.

Nakuona ni bush lawyer.
Lakini nilichosema hapo juu ni kwamba,hapa jukwaani ziletwe facts na si tetesi na report za "nimesikia".
 
yap. doctor anasema hivyo, hakuona dalili yeyote kuwa aliingiliwa kimwili,nyuchi ya demu ilipembuliwa ikaonekana haijagongwa...labda demu alikuwa amekubuhu hivyo hata akifanywa haiwezi kuonyesha. mwanamke akibakwa anatakiwa asioge aende hospitali achunguzwe kama kuna mikwaruzo kwenye mashine, kama kuna shahawa zozote, kama kuna dalili yeyote inayoonyesha ametoka kupigwa miti etc. however, ktk kubaka sio lazima ufanye mapenzi kabisa, ile kuingiza hata kichwa tu maadam kuna ushahidi kuwa uliingiza hata kama labda katika purukushani ikachomoka bila wewe kupiga juu chini chuu chini chubwiichubwiiii inatosha kubaka.

lakini vilevile, neno kubaka kisheria lipo aina mbili, kwanza kabisa kubaka kwa kawaida na kubaka kisheria (statutory rape). statutory rape ni pale mtu anapomgonga msichana chini ya miaka 18 hata kama alikubaliana naye. maadamu upo ushahidi wa kumwingilia tu inatosha.

katika suala la mbasha, huyo doctor alikuja kutoa ushahidi wa pf3 tu. kumbuka ilishaenda kupimwa hata DNA. yaani kwenye uchii wa uyo binti majimaji yalichukuliwa na kupimwa dna, ikionekana vinasaba vya DNA vya damu ya mbasha vimepatikana kwenye uchi wa uyo demu, itabidi sasa mbasha aieleze mahakama vinasaba hivyo vilifikaje hapo. kwahiyo doctor wa pf3 ametoa ushahidi, sio binding kisheria, lakini kuna bomu moja kubwa sana kama kweli lipo, hilo la DNA (ambalo kwa fununu nilizokuwa nimezipata inaonekana DNA ilitiki sasa sijui kama watacorrupt kumwokoa), mkemia mkuu wa serikali akija kuitolea ushahidi hiyo, vilio vya kisukuma vitakikika pale mahakamani na hizo story zenu zote zitaisha.

Duuuhh..
 
Nakuona ni bush lawyer.
Lakini nilichosema hapo juu ni kwamba,hapa jukwaani ziletwe facts na si tetesi na report za "nimesikia".
wewe ni poyoyo hujui kitu masikini weee, yaani hujui kitu kabisa. mbona wewe hujawahi kucomment chochote na unadandia tu hoja. unajua chochote walau? utaleta facts zipi wakati wewe hata hiyo pf3 haujaiona wala DNA report haujaiona? au wewe umeiona?

na kama tukisema tuongee facts, wewe na uanasheria wako wote unaamini report ya expert (doctor) ni conclusive evidence iliyobeba hiyo kesi yote. umesomea sheria wapi wewe poyoyo? if you think the evidence of that doctor/expert kwenye pf3 umebeba ushahidi wote, what about evidence of a government chemisty, what about eye witnesses na circumstantial evidence nyingine? au wewe huwa unaenda mahakamani unategemea ushahidi wa pf3 tu?hahaha, mwalimu aliyekufundisha wewe ataumia sana kusikia hilo.

na kama pengine haujaelewa, try to talk about statutory rape kwa huyo binti ambeye imethibitika kuwa ni under age, na DNA report ikaja, ikaunganishwa na ile audio, plus meseji kibao za kuomba msamaha zitakazoletwa na printout ya watu wa mtandao wa simu.....

siwezi ongea sana napoteza muda in short wewe ni matako hufai hata kujadili hoja.
 
aliyekuambia ushahidi wa daktari unazingatiwa sana kwenye kesi za kubaka ni nani? unatakiwa kujua kuanzia leo kuwa expert opinion is not binding, kama kuna ushahidi mwingine mzito kuliko huo wakauleta hata hicho alichoongea doctor kinapigwa chini tu. au nikuwekee case law hapa uone?

Una maanisha kesi ya Doris Liundi, ila kwa kesi hii ushahidi wa daktari una nguvu nimeifuatilia sana. Hukuna mazingira ya kukataa hii expert opinion
 
Una maanisha kesi ya Doris Liundi, ila kwa kesi hii ushahidi wa daktari una nguvu nimeifuatilia sana. Hukuna mazingira ya kukataa hii expert opinion
ndugu yangu, nilishawahi kudeal na hivi vitu sana, hao polisi achana nao kabisa. hata madoctor. its very easy to temper with pf3 kwasababu ni form tu ambayo unaweza kuipata polisi any time, ukaongea na mwendesha mashitaka na polisi, ukampa doctor pesa akajaza upya, mambo yameisha. ndivyo wanavyofanya.

sasa kama kweli doctor alisema hivyo, namwendesha mashitaka alimuandaa doctor kabla ya kuingia, akapeleka ushahidi kama huo ili ukaunge mkono kesi yake, unafikiri hapo mwendesha mashitaka hana mkono?hahaha, lazima jamaa ameonwa au ameamriwa amsaidie jamaa. na alipoleta huo ushahidi hostile kwa kesi ya prosecution, prosecutor hakumdeclare hostile.

jaribu kufikiri, kama prosecutor alijua hilo kabla ya kuingia, kwanini hakuachana na huyo doctor, akaingia moja kwa moja mahakamani na kuondoa kesi? lakini alijua anachoenda kuongea lakini ili kurahisira upande wa pili akamwacha doctor akaharibu mambo kule ndani. kwisha habari yake, na mbasha atatoka.

prosecutor ndiye mwenye mamlaka ya shahidi yupi aje na nani asije na wakati gani afunge kesi upande wa republic au la, hivyo hata government chemisty anaweza asiletwe jamaa akafunga kesi na rulling ya whether kuna kesi ya kujibu au la inaletwa, na kama ushahidi ni hafifu, kesi itakuwa acquittal palepale, ndicho kilicholengwa na huyo prosecutor. ni kitu cha kweli kwamba doctor kama amesema hivyo, ni madhara makubwa sana upane wa prosecution na republic wanatakiwa kuleta ushahidi mwingine mzito sana. unfortunately, kama prosecutor aliruhusu shahidi wa aina hii kuingia mahakamani, hawezi kuleta ushahidi mwingine bora kuliko wa huyo doctor, na ninafikiri ni muafaka tusema 'MBASHA HAKUBAKA' kabisa kwasababu prosecution hawana ushahidi mzuri. kwisha habari yake.

kama prosecutor angekuwa mzuri, au angekuwa analeta mashahidi na mashahidi wanaounga mkono kesi, mbasha angepotelea jela. lakini hata hivyo, unajua 30 years si mchezo, nisingependa mwanadamu yeyote aende jela miaka hiyo kwa kesi kama ya mbasha. so its ok for me kama akiachiwa. ila kama tukiongelea uwezo na nia ya mwendesha mashitaka ktk hili kama kweli alimruhusu shahidi wa namna hiyo kuingia mahakamani, basi jamaa lazima amekula mpunga wa kueleweka, au amepewa amri afanye hivyo kutoka juu. (mbasha ana network, na ndiyo network hiyo alikuwa anaitumia kutafuta matamasha ya flora, hadi huko ssm mbasha anajulikana.
 
Kwa nini siku ya kubakwa hakupimwa hadi baada ya siku nane? Baada ya siku nane kitaalam ulitegemea aone nini? Nenda mble hatua moja!.


Mara nyingi naona unapenda ongelea fununu. Huyo daktari mpaka sasa kaongea facts,tena mbele ya mahakama.Lini nawe utaongea facts?
 
Alikuwa wapi muda wote huyu daktari? Huu ndio muda wa shetani kufanya kazi.

Hivi umesoma kweli kilichoandikwa wewe?

Au unadhani mahakamani watu wanajiendea tu kama kwenye mdundiko vile...
 
hapo hajabakwa mtu...hao walitaka kumuangamiza mshkaji...jamaa watu wabaya sana acha waumbuke..
 
Kwa nini flora hakutaka binti aqfanyiwe kipimo siku ileile ? Alijua akakusanya nguvu ili ijazwe uongo. Ona sasa
 
tufanye mbasha kashinda kesi ya ubakaji..labda kweli hakumbaka..ila hata kama walifanya kwa maridhiano zen badae msichana ndo akamgeuka..still dhambi ya usaliti haikwepeki..ukisikiliza ile audio ya mazungumzo ya simu kati ya mbasha na huyo binti(anayesadikiwa kubakwa) utaona kuna tatizo tu sumwhere

Kama unayo tupia mkuu, au mwenye nayo atume tafadhali
 
Kuna research moja ninafanya inahusiana na prevention ya HIV watu kama hao ambao hawajafikisha age ya 18 lakini wanapelekewa moto wanaitwa MATURE MINOR. Yaani tukikutana nae tunamheshimu kama adult maana anapelekewa moto vizuri mno na kitu wala haki scratch....kinaenda smoothly.....

Hahaha...tatizo ni sharia mkuu. Hio statutory rape ni rahisi sana kuprove. Unaprove penetration tu baaaaasi.
 
Adui mwombee njaa, atanyoosha mikono juu. Huu ni msimu wa mgogor wa gwajm na serkl, ndo wakati wa mbasha kushinda... sasa bado tunasubiri mgogoro wa 'flora'. Tym will tell.
 
Back
Top Bottom