Daktari: Mbasha hakubaka shemeji yake

Daktari: Mbasha hakubaka shemeji yake

tufanye mbasha kashinda kesi ya ubakaji..labda kweli hakumbaka..ila hata kama walifanya kwa maridhiano zen badae msichana ndo akamgeuka..still dhambi ya usaliti haikwepeki..ukisikiliza ile audio ya mazungumzo ya simu kati ya mbasha na huyo binti(anayesadikiwa kubakwa) utaona kuna tatizo tu sumwhere
 
Acha movie iendelee asisahau kufungua kesi ya madai baadae
 
Aibu kwa flora na mdogo wake hawakuwa na mawazo yakufikiri mbali, unaona sasa wanavyoumbuka?
 
ndo mwanzo wa ukweli kujulikana...
hiyo ni dili tu, prosecutor amekula na mbasha. inakuwaje, kwani kesi ipo kwenye defence? kama wakili wa serikali anayeendesha hiyo kesi aliona shahidi doctor ata turn hostile namna hiyo alimpeleka wa nini? na zaidi ya yote, i hope huyo wakili wa serikali anayeendesha shitaka ataipeleka na ile audio ya mbasha akiomba msamaha kwa shemeji yake kwa kumlala. na ijulikane kuwa kubaka kwa mbasha hata kama hakutakuwa moja kwa moja, kutategemea na umri wa binti ili kuangukia kwenye statutory rape yaani kulala na binti miaka chini ya 18 hata kama alikubali ni kubaka kisheria. hivyo aombe Mungu umri wa binti uwe zaidi ya miaka 18 na ile audio aliyorekodiwa aombe Mungu isijulikane kuwa ni yeye. mwendesha mashitaka wa hiyo kesi ameelekezwa cha kufanya hasa kutokana na ugomvi wa gwajima na serikali.mbona iko wazi hivi?anataka watu waamini allegation against gwajima na flora ili wammalize.
 
ulitaka daktari afanyeje wakati ndo wakati wake sasa wa kutoa ushahidi?!

Kwa hiyo ushahidi ndiyo umepatikana Jana?daktari kapima kipindi kile sasa kwa nini asithibitishe mahakamani tokea kipindi kile? Walikaa na shemeji mtu kumfanyia uchunguzi tokea kipindi kile? Leo ndiyo muda mwafaka wa hawa wazandiki kuunganisha mambo ili watimize azma yao. Msisahau sauti za watu ni kubwa wakichoka utawala wa mabavu.
 
Kwa hiyo ushahidi ndiyo umepatikana Jana?daktari kapima kipindi kile sasa kwa nini asithibitishe mahakamani tokea kipindi kile? Walikaa na shemeji mtu kumfanyia uchunguzi tokea kipindi kile? Leo ndiyo muda mwafaka wa hawa wazandiki kuunganisha mambo ili watimize azma yao. Msisahau sauti za watu ni kubwa wakichoka utawala wa mabavu.
mkuu ulitaka daktari aupeleke wapi ushahidi ikiwa kesi ndo imesomwa?
 
hiyo ni dili tu, prosecutor amekula na mbasha. inakuwaje, kwani kesi ipo kwenye defence? kama wakili wa serikali anayeendesha hiyo kesi aliona shahidi doctor ata turn hostile namna hiyo alimpeleka wa nini? na zaidi ya yote, i hope huyo wakili wa serikali anayeendesha shitaka ataipeleka na ile audio ya mbasha akiomba msamaha kwa shemeji yake kwa kumlala. na ijulikane kuwa kubaka kwa mbasha hata kama hakutakuwa moja kwa moja, kutategemea na umri wa binti ili kuangukia kwenye statutory rape yaani kulala na binti miaka chini ya 18 hata kama alikubali ni kubaka kisheria. hivyo aombe Mungu umri wa binti uwe zaidi ya miaka 18 na ile audio aliyorekodiwa aombe Mungu isijulikane kuwa ni yeye. mwendesha mashitaka wa hiyo kesi ameelekezwa cha kufanya hasa kutokana na ugomvi wa gwajima na serikali.mbona iko wazi hivi?anataka watu waamini allegation against gwajima na flora ili wammalize.

Hujui kitu kaa kimya pumbafu wewe
 
Hivi kuna kipimo gani cha maabara kinakwambia kama mtu amelalwa au hajalalwa na kama amelalwa alikuwa ana enjoy au anasema stop it!? Kipimo gani, kinaitwaje, mbona hakitajwi na daktari, mahakama wala gazeti? Jamani sisi wabongo mbona tuna turkey stuffing vichwani?
 
hiyo ni dili tu, prosecutor amekula na mbasha. inakuwaje, kwani kesi ipo kwenye defence? kama wakili wa serikali anayeendesha hiyo kesi aliona shahidi doctor ata turn hostile namna hiyo alimpeleka wa nini? na zaidi ya yote, i hope huyo wakili wa serikali anayeendesha shitaka ataipeleka na ile audio ya mbasha akiomba msamaha kwa shemeji yake kwa kumlala. na ijulikane kuwa kubaka kwa mbasha hata kama hakutakuwa moja kwa moja, kutategemea na umri wa binti ili kuangukia kwenye statutory rape yaani kulala na binti miaka chini ya 18 hata kama alikubali ni kubaka kisheria. hivyo aombe Mungu umri wa binti uwe zaidi ya miaka 18 na ile audio aliyorekodiwa aombe Mungu isijulikane kuwa ni yeye. mwendesha mashitaka wa hiyo kesi ameelekezwa cha kufanya hasa kutokana na ugomvi wa gwajima na serikali.mbona iko wazi hivi?anataka watu waamini allegation against gwajima na flora ili wammalize.

mkuu..mimi si mjuzi wa sheria..ila niko tayari kufundishwa!!kama kesi inahusisha dr je anatakiwa akatoe ushahidi wa kumwona mshitakiwa ana kosa?kama kweli vipimo vimeonyesha hakubakwa je dr haruhusiwi kusema hivyo?lakini pia kuhusu issue ya audio uliyosema ni ya mbasha una uhakika kuwa ni kweli ni mbasha na siyo mtu mwingine?!sina upande katika hii kesi!!
 
tufanye mbasha kashinda kesi ya ubakaji..labda kweli hakumbaka..ila hata kama walifanya kwa maridhiano zen badae msichana ndo akamgeuka..still dhambi ya usaliti haikwepeki..ukisikiliza ile audio ya mazungumzo ya simu kati ya mbasha na huyo binti(anayesadikiwa kubakwa) utaona kuna tatizo tu sumwhere

una uhakika walifanya kwa maridhiano? Usiongee kitu Kama huna uhakika.
 
Hujui kitu kaa kimya pumbafu wewe
we unayejua kitu ni nani? nimeamua nisikutukane kwasababu nimeona inawezekana wewe ni demu tu. siwezi bishana. hebu tubishane kisheria, huyo doctor ni PW wa republic ameletwa kwaajili ya nini, na alihojiwa na kuandaliwa kabla ya kuingia mahakamani kama ilivyo kawaida, na anaingia mahakamani kuongea against the charge sheet sasa si wangeondoa tu iyo kesi kwa 91(1) au 98(a), wanaishikilia wakiwa na matumaini gani?

walipomshitaki lengo la republic ilikuwa kumfunga kutokana na ushahidi waliouona, inakuwaje njiani wanaleta shahidi anayepingana nao (hostile witness), na kwanini hakuwa declared hostile palepale,ilikuwaje akachaguliwa kuletwa na republic au ameitwa na defence au mahakama?

unaelewa namna kesi zinavyoendeshwa lakini, nisije kuwa naongea na bundi fulani hivi asiyejua kitu kabisa? nimejaribu kukuheshimu kwa leo.
 
Ila bora maana jamaa alilia sana huku mwenzie akidhihaki, Inawezekana siku ya nane walimpeleka maeneo akala raha kisha wakamleta kwa daktari ili kufunika kombe... Kweli binadamu siyo kama umdhanivyo na wanaosema sote vichaa wana maanisha.
 
YAANI DK KAKUTAA

( )

mmmmmmmm. Hahaanayeye hahaaaaa

Embuwaacheni wamalizewenyewejaman
 
tufanye mbasha kashinda kesi ya ubakaji..labda kweli hakumbaka..ila hata kama walifanya kwa maridhiano zen badae msichana ndo akamgeuka..still dhambi ya usaliti haikwepeki..ukisikiliza ile audio ya mazungumzo ya simu kati ya mbasha na huyo binti(anayesadikiwa kubakwa) utaona kuna tatizo tu sumwhere

Tuwekee hiyo video ndugu wengine hatujaisikia
 
mkuu..mimi si mjuzi wa sheria..ila niko tayari kufundishwa!!kama kesi inahusisha dr je anatakiwa akatoe ushahidi wa kumwona mshitakiwa ana kosa?kama kweli vipimo vimeonyesha hakubakwa je dr haruhusiwi kusema hivyo?lakini pia kuhusu issue ya audio uliyosema ni ya mbasha una uhakika kuwa ni kweli ni mbasha na siyo mtu mwingine?!sina upande katika hii kesi!!
wewe ni mstaarabu, nitakujibu. kinachotokea ni kwamba, uendeshaji wa kesi huanza kwa hati ya shitaka kusomwa, na baadaye preliminary hearing (ph) baada ya hapo mwendesha mashitaka ataomba tarehe ya kusikilizwa ambapo ataleta mashahidi na vielelezo. mashahidi watakao letwa ni wale wanaokuja kuprove kesi yake, sio wale wanaokuka kuharibu kesi yake. Daktari ktk kesi hiyo analetwa kwasababu alijaza pf3 na anatakiwa kuielezea yeye kama mtaalamu aliyeijaza. hii pf3 huwa inakuwepo kwenye jalada la jamhuri hata kabla hawajafungua kesi mahakamani kwa maana kwamba jalada likitoka polisi linapelekwa kwa mawakili wa serikali ambao wataangalia ushahidi wa mashahidi na vielelezo na kuamua kama kesi iende mahakamani au la.

vielelezo vitakavyoletwa vinatakiwa vile vya kuunga mkono hati ya shitaka (kubaka), kama kielelezo yaani pf3 inasomeka kuwa hakubaka hakuna hata haja kumwita daktari bora aachwe kuja kuitwa na defence kuliko kuja kukuharibia kesi na kama unataka kesi iharibike ni bora uifute kabisa kwasababu unakua unajipinga mwenyewe. shahidi anayeletwa, akifika mahakamani huwa haingii moja kwa moja mahakamani anatakiwa kuonana na mawakili wa serikali watakaomuandaa kulingana na statement aliyoitoa polisi. hivyo kabla haujaingia na shahidi unajua kabisa shahidi anaenda kuongea nini kwasababu umemuandaa kwanza akikuelewa ushahidi wake nje ya mahakama na akiingia akaongee hivyohivyo.

sasa shahidi akionekana anaenda kutoa ushahidi unaopinga hati ya shitaka, anaachwa nje kabisa hasumbui mahakama kabisa. unaita wengine, kama unaona ameongea ukweli, achana na kesi futa kesi. akiingia akaongea nje ya yale aliyoongea polisi au yale mliyojiandaa ambayo unajua ni ya kweli basi palepale mahakamani unaweza kum declare hostile na kumcross examine ili ushahidi wake uwe discredited. sasa uyo doctor aliandaliwa kabla ya kuingia na akaonekana mpinzani wa prosecution, utaingianaye vipi?
 
Back
Top Bottom