kubaka katika sheria, kuna kubaka kwa kawaida, na kuna kubaka kisheria. kubaka kisheria ni pale unapofanya mapenzi na binti miaka chini ya 18 hata kama amekubali, kisheria ni kubaka. pona ya mbasha hapo ni kama binti atakuwa na miaka 18 au zaidi, kama alikuwa chini, na kuna audio ile anaomba msamaha kwa huyo binti kwamba wayamalize tu na anakiri kwamba alimkosea/alimlala zaidi ya mara moja, miaka 30 iko palepale. hivyo kubaka kwa hawa wasichana wadogo sio lazima uwe umekaba na kulazimisha, hata kama alijilengesha mwenyewe kama yuko chini ya umri, unakwenda na maji.