Daktari feki akamatwa tena Muhimbili

Daktari feki akamatwa tena Muhimbili

Mpwa Ule mchongo wamwachie akahudhurie taifa kesho. Auze namachungwa yake kama alivyodai mjasiriamali wa bugurunisokoni
 
hii kitu sijaielewa vizuri cc: Dr.Moo

POLE MKUU
UHABA WA bundle KUNA DK feki kakamatwa moi mbaya ni mchaga si unajua KabILA LA WAPIGAJI INGAWA WAKURIA. NA WASUKUMA WAMENZA KUVAMIA NAO

HOPE UNAWEZA FWATILIA MUENDELEZO KARIBU SANA
 
Mpwa Ule mchongo wamwachie akahudhurie taifa kesho. Auze namachungwa yake kama alivyodai mjasiriamali wa bugurunisokoni
mpwa huyo dokta kaingia choo cha kike...atatoka lkn
 
Hivi mpwa
Raïs si anatoaga misamahaa KWA mahabusu pia siku za sikukuu

Embu Prince tutolee kijana kesho bwana najua atakuwa pale kariakoo

Cc...mkuu wa kituo Kariakoo
 
Mia.100. IVO...
Kabla daktari hajakuhudumia unamuomba vyeti na vitambulisho vyake

Nayeye akiomba utasalimikakweli wameshika maishayetu achatu usitoewazo lolote tutalia wakipatochachi n
 
Huyu mjinga mwaka jana alikamatwa muhimbili ...mwaka huu tenaaa moi..anajiiamini nini...au kuna baba yake hapo
 

Attachments

  • 1418066600681.jpg
    1418066600681.jpg
    44.7 KB · Views: 287
Huyu mjinga mwaka jana alikamatwa muhimbili ...mwaka huu tenaaa moi..anajiiamini nini...au kuna baba yake hapo

kumbe ni huyu huyu jamaa?
loh!! huyu jamaa anajiamini sana lazima kuna watu nyuma yake
 
Wachaga wanajulikana kwa wizi na utapeli. mtoto wa kichaga akizaliwa anapitishwa dirishani na kisu mkononi ili akiwa mkubwa awe Jambazi

unasema waume zako ngoja wakuache nione kama utaolewa na mjomba wako
 
Heri huyo anayetafuta na anaonekana kutoka jasho kuliko majizi ya Escrow na Serikali yao
 
Hii mara ya pili?!,.....fool them once, shame on them, fool them twice....shame on them again!
 
Inawezekana asiwe feki,
Ila ni daktari (MD) asiye na ajira hapo Muhimbili lkn sifa kwa maana ya sifa za kitabibu anazo.

Ukosefu wa ajira kwa wahitimu haya ndio matokeo yake.

Kitendo cha kutosajiliwa kama mtumishi na wizara husika, kutotambulika na mamlaka za kitumishi ndicho kinacho thibitisha UFEKI WAKE hata kama angekuwa na elimu ya aina gan, tumpe pole tu.
 
Huyu mjinga mwaka jana alikamatwa muhimbili ...mwaka huu tenaaa moi..anajiiamini nini...au kuna baba yake hapo
Yaelekea anapenda fani ya udaktari bora apatiwe mkopo aende chuo kuongeza ujuzi .
 
Back
Top Bottom