Daktari feki akamatwa tena Muhimbili

Daktari feki akamatwa tena Muhimbili

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
27,614
Reaction score
62,403
Kuna taarifa ya kukamatwa Daktari feki katika Hospitali ya Taifa Muhimbili. Kama hii habari ni kweli, basi itabidi baadhi ya Viongozi wa Hospitali hii wajiuzulu nafasi zao. Hii inaonesha ni jinsi gani viongozi wanacheza na afya za Watanzania.
64276_762350463849090_777255929336027201_n.jpg

Mia
 
Anavyotia huruma utafikiri sio mtuhumiwa, ukimkuta kwenye anga zake utakuta anawapiga makofi mpaka wagonjwa
 
Sasa huyu Dr. kwa hosp kama Muh2 analipwa namna gani au ndio anaishi kwa rushwa na mkono wa asante kwa wahudumiwa?
 
Polisi wa kitanzania sijui akili zao zikoje. Sasa kumpigisha magoti dr wa watu ndo nini?
 
Hii nchi Ina rais kweli AU RAHISI

Hahahaa hapo Rais utamuonea tu, hakuna nchi ya namna hiyo chini ya jua; uwajibikaji wa dhati ni muhimu kwa mtu awaye yote ktk nafasi yoyote, kwa jambo hili sijui Rais una mlaumu vipi labda uiweke bayana ili tuelewe vyema!!
 
Hahaha...hapo muhimbili waongeze umakini...nakumbuka enzi nasoma hapo...ukiwa na ndugu yako mgonjwa amelazwa unavaa koti tu jeupe unaingia kiulaainiii..mlinzi hana habari na wewe wala nesi...tena mbaya zaidi tulikua tuna access ya kuingia humo mpk usiku wa manane...unaenda kumcheki ndg yako/jirani yako....sasa km sisi tu wanafunzi tulikua tuko very free..mtu baki je na mwenye nia mbovu je...
Inabidi wawe serious...mana pale kutambua yupi dk yupi siye ni ngumu...ukivaa tu koti dk...ukining'iniza kitambulisho hamna anayejalI ni fake au Og
 
Hapo jamani mr dume hausiki nimeona watu wameanza kumshutumu.
 
Mia.100. IVO...
Kabla daktari hajakuhudumia unamuomba vyeti na vitambulisho vyake
 
mara unakutana naye huyo dokta kanjanja anakufanyia opereshen ya tezi dume ....inakuwaje hapo
 
mara unakutana naye huyo dokta kanjanja anakufanyia opereshen ya tezi dume ....inakuwaje hapo

Ishu je...katika kuhudhuria hospitali ulizowahi kwenda hujwahi kukutana na kanjanja angalau mara poja
 
Ishu je...katika kuhudhuria hospitali ulizowahi kwenda hujwahi kukutana na kanjanja angalau mara poja

mkuu nshakutana nao wengi hata hao waliomaliza muhimbili chuo wengi makanjanjaaaa
madokta walikuwa wakina kasambala bwana wakikuona tu wanajuaa nn tatizo......
 
mkuu nshakutana nao wengi hata hao waliomaliza muhimbili chuo wengi makanjanjaaaa
madokta walikuwa wakina kasambala bwana wakikuona tu wanajuaa nn tatizo......


Nawasipokuona ukipita nje ya ofisi wanajua u mgonjwa kwa kusikia kishindo chako na wakati mwingine wanakutambua kwa harufu ukipita karibu yao.
 
Back
Top Bottom