ngomokomo
Member
- Jun 25, 2013
- 91
- 2
Nawasipokuona ukipita nje ya ofisi wanajua u mgonjwa kwa kusikia kishindo chako na wakati mwingine wanakutambua kwa harufu ukipita karibu yao.[/wanakua wachawi au? Sijakuelewa mkuu
Nawasipokuona ukipita nje ya ofisi wanajua u mgonjwa kwa kusikia kishindo chako na wakati mwingine wanakutambua kwa harufu ukipita karibu yao.[/wanakua wachawi au? Sijakuelewa mkuu
Hii nchi sasa utamuonea aibu nani??
Kama Le profeseli Muhongo alikuwa anafurahia bn 321, kwann mimi nione aibu?
Le big nation gadem Tanzania sucks!!
Hii nchi sasa utamuonea aibu nani??
Kama Le profeseli Muhongo alikuwa anafurahia bn 321, kwann mimi nione aibu?
Le big nation gadem Tanzania sucks!!
Naangalia itv natoa machozi kumwona mchaga mwenzangu kakamatwa hosp ya moi kkwa kuwatapeli wagonjwa na kuomba michango kwa ma dk ya msiba....
Ni kweli atukuja kulimalami dar lakini swala lakucheza na maishaya watu siko nyumayako bwashee hata sikumoja
tupige kwingine tusiwapige wagonjwa hii niilaana na hii ni kwa. Wachaga wote tuliobakia dar
swali moja kumuliza msemaji wa moi...hivi nikweli dk feki anaweza kuingia hosp na kuhuudumia ama kutapelj kuanzia asbh mpaka jioni
2:
.. Pdidy njaaaa huwa inamfanya binadamu kutafuta njia ya kupata hela....hehehehehe
Ngasuo leka tikyi.. Pdidy njaaaa huwa inamfanya binadamu kutafuta njia ya kupata hela....hehehehehe
yaan huyu mchaggaa kwakweli hata kujitetea haweI
Na waliweka picha zake n'a huku bado Jamaa yuko muhimbili hiyo hiyo akipiga et michongo wajiulze je yuko mwenyewe muda wotehuo??no lazima KUNA mchongo
Kwanza wachunguze kama kuna wagonjwa wanalipa ma DK nje ya malipoya pale reeption
Ndugu zangu wachaga tuungane tukamtolee dhamana macha ila kaingiachoo cha kike Mpwa kesho sikukuu loh
Nirudi kwenye mada Mpwa umeonaa uranium Ule anakaratasi lamichango inasaini za mdk n'a majina Yao....uwoga wangu kwa exp nilionayo akuna dk mwenye kuchangia lakisita msibani labda uwe wa babayake ama mamayake MZAZI....angalia Zile frg za Kwanza . taTu. Na sita kuna 600"000:3000