Daktari aliyefukuzwa Muhimbili atoa ushuhuda (kipindi cha njiapanda)...

kuna interns wapya 29 ambao wamepelekwa muhimbili ili kuwareplace interns 229 ?!
Uongo wa serikali. Hao 29 walikwa wameshapangiwa kuanza kazi siyo kwamba serikali imewatafuta baada hao wengine kugoma. Shenzy kabisa serikali hii.
 
Serikali imefilisika, watawalipaje watumishi wake?
Kimbembe kitaibuka pale watakaposhindwa kuwalipa wanajeshi.
 
Martina Njelekela si ndiyo CEO mpya? Ndo kaingia kwa gia kubwa mwenzenu hamumuwezi. Wanawake wanaweza wakiwezeshwa.
 
nadhani hata huyu dr maro anayeendesha kipindi aliachana na kutibu ili kuepuka upuuzi wa namna hii !!
 
Martina Njelekela si ndiyo CEO mpya? Ndo kaingia kwa gia kubwa mwenzenu hamumuwezi. Wanawake wanaweza wakiwezeshwa.

halafu anawatimuwa wanafunzi wake.kweli adui wa daktari ni daktari mwenzeka.kashasahau na yeye alikumbwa na matatizo haya haya !
 
dr hamisi kigangwalla aliyewahi kuongoza mgomo wa interns mwanzoni mwa miaka ya 2000 kuhusiana na posho yuko wapi kuwatetea madaktari wenzake?au leo hii baada ya kukwaa ubunge amesahau?
 
ukiwa mtoto na ukiulizwa ungependa kusoma na kuwa nani,jibu lilikuwa nataka kuwa dokta.ukifika high school na ukaulizwa swali hili hili jibu huwa i want to become a doctor.ukiwa chuo cha udaktari kama undergraduate ukaulizwa unataka kuwa nani jibu litakuwa im gonna be a pediatrician/gynecologist/surgeon.
ukianza kupractise udaktari na kuulizwa swali hilo hilo utasema najuta kupoteza muda wangu na ninatamani kuwa mwanasiasa au mkusanya kodi wa TRA au nataka kwenda botswana.
hii sio stori bali ni uhalisia wa mambo kwa watumishi kwenye sekta ya afya.ndio maana sishangai kusikia watu wakililia kwenda kutibiwa india na sio muhimbili.
 
dr hamisi kigangwalla aliyewahi kuongoza mgomo wa interns mwanzoni mwa miaka ya 2000 kuhusiana na posho yuko wapi kuwatetea madaktari wenzake?au leo hii baada ya kukwaa ubunge amesahau?

Wengi wakishafika huko mjengoni huwa hawakumbuki walipotoka.
 
Back
Top Bottom