Daktari aliyefukuzwa Muhimbili atoa ushuhuda (kipindi cha njiapanda)...

waliahidiwa kupewa fedha tarehe 30 mwezi wa kumi na mbili.
 
mkurugenzi wa MNH aliwasiliana na katibu mkuu wizara ya afya na kupewa jibu kuwa hazina haijapeleka fedha wizarani hapo.hivyo wawe wazalendo!
 
interns waliomba kupewa fedha kutoka kwenye chanzo kingine haswa MNH.ingawa walikataliwa.
 
Ok Thanx 4 da info,ila mwambie afafanue maana wengi wanajua Dr.Isaack maro kafariki wanamchanganya na yeye
 
Swala hapa "HUWEZI KUMKAMUA NG'OMBE BILA KUMLISHA". Hivyo Madaktari wana haki ya kupata/kuwezeshwa kuifanya kazi yao vizuri kwa kupewa malipo stahiki na kwa wakati. Serikali isijifanye kwamba kwa vile ni serikali basi ina haki ya kumuonea au kumkandamiza Daktari (mtumishi yeyote) kwa kinachoitwa "KIAPO" wakati yenyewe ikishindwa kutekeleza kiapo chenyewe.
 
hivi inakuaje hawa madaktari waende wizarani kutafuta posho zao badala ya kuwa wodini na kuwatumikia watanzania.
 
MNH imekuwa ikiwalipa interns bila kupewa fedha hizo kutoka wizarani.kwa kuwa ni muda mrefu umepita bila fedha hizo kupatikana inaelekea MNH ilisitisha kutoa posho ndio maana mambo yakaharibika.
 
hivi inakuaje hawa madaktari waende wizarani kutafuta posho zao badala ya kuwa wodini na kuwatumikia watanzania.

Halafu wale nini?wale vidonda wanavyoshikashika kwa wagonjwa au mnataka wale chakula cha wagonjwa jamani kama mtu anafanya kazi apewe haki yake asikandamizwe eti kisa ni mwanafunzi wa vitendo
 
kuna interns wapya 29 ambao wamepelekwa muhimbili ili kuwareplace interns 229 ?!
 
The government lost her control since 2005 walipoamua kutugeuza wajinga na kutumia mamilion ya pesa kutuvalisha kofia na t-shirt ikafuata fichua mafisadi pamoja na yale makashfa makubwa makubwa!! Hadi leo hapatulia.

Sasa kinachofuata ni kila mmoja kujiandaa kwa hali ngumu zaidi, uchochezi wa kipuuzi na uonevu wa kijinga kama huu!! Mtu kasotea miaka na miaka kuutafuta huo UDr, then umwambie awe mzalendo, watoto walio katika hiyo professional wataanza kukimbia na nchi itakosa wataalamu kwa sababu ya unprofessional people holding the important office.
 
Nadhani hapo kuna tatizo kubwa, mkurugenzi alitakiwa kutumia busara nyingi sana. kuwafukuza haisaidii hata kidogo ni kuwaumiza wagojwa. Naomba mgomo wa wagonjwa uitishwe.
 
Baada ya kuwasikiliza hao ma intern najisikia kuweweseka. Ngoja sasa nikatafute screen kubwa niicheki ' manchester derby' labda nitajisikia na mimi nipo Etihad Stadium ili angalau feelings zangu zitulie. Wandugu kwa hali hii tunaweza kusema kabisa kwamba hatuna serikali bali tuna genge la wapumbavu.
 
Back
Top Bottom