eti waziri wa afya anasema interns hawa hawajafukuzwa lakini anasisitiza warudi wizarani kupangiwa vituo vingine.
swali langu kwa kipindi chote wanachofanya utaratibu wa kuwahamisha je wagonjwa wa muhimbili watahudumiwa na nani?
je ni nani atalipa gharama za kurelocate hawa vijana?sababu ya kuwapangia vituo vingine ni ipi?kama hawa interns ni tatizo ina maana gani kuhamishia tatizo sehemu nyingine?wakuu naona huyu waziri anatafuta mgogoro wa ajabu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.