Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,062
- 136,424
Ni kapteni Tesha!
Huyu nadhani ndo basi tena. Hatutomuona wala kumsikia tena.
Keshajipatia umaarufu ndani ya hizo dakika zake 15 alizokuwa nazo na sasa zimeisha.
Hivyo, ni ama atapotea mwenyewe kwa hiari yake au atapotezwa, hiyo ni kama bado yupo na hajapotea wala kupotezwa.
Alifanya makosa makubwa ya kimkakati.
Mtu mwenye nia ya kufanya kweli, angetenda kwanza halafu ndo kuonyesha sura yake na kutoa tamko lake.
Lakini siyo kuonyesha sura na kutoa tamko la nia.
Sijui alipata wapi hayo mafunzo yake ya uanajeshi!
Habari ndo hiyo. Kwisha habari yake huyo.
Huyu nadhani ndo basi tena. Hatutomuona wala kumsikia tena.
Keshajipatia umaarufu ndani ya hizo dakika zake 15 alizokuwa nazo na sasa zimeisha.
Hivyo, ni ama atapotea mwenyewe kwa hiari yake au atapotezwa, hiyo ni kama bado yupo na hajapotea wala kupotezwa.
Alifanya makosa makubwa ya kimkakati.
Mtu mwenye nia ya kufanya kweli, angetenda kwanza halafu ndo kuonyesha sura yake na kutoa tamko lake.
Lakini siyo kuonyesha sura na kutoa tamko la nia.
Sijui alipata wapi hayo mafunzo yake ya uanajeshi!
Habari ndo hiyo. Kwisha habari yake huyo.