Dakika za majeruhi - njoo tuzogoe

Dakika za majeruhi - njoo tuzogoe

1. Sijui hata maisha rahisi ndio kitu gani
🫂 pole
2. Mistari mingi, ila kwa hapa umekuja ule wa "ujana una mengi na mengi nimefanya, siwezi danganyq nishamaliza" mstari huu huwa nakumbuka ile mikong'oto, 3some, purukushani zote za ujana, mabalaa mengi niliyofanyq, kisha huwa natabasamu tu.
Ujana maji moto, kuna mambo nikikumbuka hata sijui nilifanyaje fanyaje 🤦‍♀️🙌
3.hii, mpaka nimeze mate ya akili, kwa haraka haraka sina jibu
👍
4.kati ya kutoka na kukaa nyumbani, siwezi kwenda kutiki, bora niingie motoni kuliko kwenda kutiki
Sawa, kuwa makini na fanya kile ambacho unaona ni sahihi kwako na si kufuata mikumbo.
5. Kunigusa mbona mbali kote huko, mie mtu akiniambia tu amemisi MJEGEJE wangu au kamisi SHUGHULI za kukuru kakara.. ama kuonesha tu dalili ya kumisi huduma yangu
Basi mie DUDUKILA linainuka hapo hapo
Nimechekaaaaaaaaaaaa, ila Maka 😅😆😆😆
 
1. Nimejifunza kupotezea
Inaepusha disappointments mingi
Ukimaster hii, maisha yanakua na wepesi flani.
2. Majina yote mazuri - umenipigania nakuita Jehovah Nissi. Mungu amenishindia vya hapa na pale
Nice 🙏🧡🙌
3. Ningewauliza wanawake wa karne hii.. kwanini ni wanafki sana
Anza kwanza wewe kutupa jibu, kwanini tuko hivi?
4. Ninabaki nyumbani.. sitaki masihara na siasa zenu
Same here
5. Manyonyo 🤭😀 + akiniangalia akasema ujue wewe ni mjeuri sana. Kwishaaa
Daah 😅, siongezi neno!
 
1. Nimejifunza kupotezea
Inaepusha disappointments mingi
2. Majina yote mazuri - umenipigania nakuita Jehovah Nissi. Mungu amenishindia vya hapa na pale
3. Ningewauliza wanawake wa karne hii.. kwanini ni wanafki sana
4. Ninabaki nyumbani.. sitaki masihara na siasa zenu
5. Manyonyo 🤭😀 + akiniangalia akasema ujue wewe ni mjeuri sana. Kwishaaa
Kumbe
 
1. Neema na Rehema za Mungu, mwaka huu kwangu zimefanya maisha kuwa rahisi.
Mungu ni mwaminifu sana 🙏
2.Zuchu - Raha
Wewe tena 😅😅
3. Binti wa zamani ( kama upo single )


4. Nipo kwenye harakati za kusafisha nchi, October 29 tunakazi moja kuwanyonga wahuni na wauji
Hujajibu swali buana!
5. 😅😅 tukikutanisha macho macho, alafu akaweka kichwani chake kifuani imeisha hiyoo
Wacha weeeh 🤭
 
1. Kuna msemo nilisikia kwenye movie ya spider no way home unasema "if you expect dissapointment you will never be dissapointed" hivyo huu msemo ndo huwa naishi nao
Safi 💯
2. Huwa nasikiliza sana nyimbo za love song sikumbuki mstari unao nihusu maisha yangu hasa
Basi kaongeze kwenye playlist some of my favs : Lana Del Rey - Say yes to heaven & yellow - Coldplay
4. Naenda kulitetea taifa
All the best - njoo utupe update when it's done kama mtakua salama.
5. Sio kunigusa ila kuna aina flani akiniangalia
Mambo ya kuangaliana yanabamba wengi 🤭
fox tv GIF by Empire FOX.gif
 
1. Sijui hata maisha rahisi ndio kitu gani

2. Mistari mingi, ila kwa hapa umekuja ule wa "ujana una mengi na mengi nimefanya, siwezi danganyq nishamaliza" mstari huu huwa nakumbuka ile mikong'oto, 3some, purukushani zote za ujana, mabalaa mengi niliyofanyq, kisha huwa natabasamu tu.

3.hii, mpaka nimeze mate ya akili, kwa haraka haraka sina jibu

4.kati ya kutoka na kukaa nyumbani, siwezi kwenda kutiki, bora niingie motoni kuliko kwenda kutiki

5. Kunigusa mbona mbali kote huko, mie mtu akiniambia tu amemisi MJEGEJE wangu au kamisi SHUGHULI za kukuru kakara.. ama kuonesha tu dalili ya kumisi huduma yangu
Basi mie DUDUKILA linainuka hapo hapo
Chukua pisi hiyo mwamba unafeli wap!

Ila keshokutwa TUNAKIWASHA!
Mtaniachia mafwelwe tu tumalizane nae ana deni langu lazima alipe!
 
  1. Kitu gani kimefanya maisha yako kuwa rahisi kwa mwaka huu? 



Nyeto, Kila napokuwa na hali ngumu ya kimawazo, uchovu au depression, hua napiga nyeto angalau bao mbili napata ahueni.

2. Mstari gani wa wimbo unakugusa na unaona kama unaongelea yanayoendelea maishani mwako?
Ninao, ninao.!
Subiri vipimo.!

Ninao, ninao.!
Usikate tamaa.!

  1. Kama ungeweza kumuuliza mwanamke yoyote swali, angekua nani na ungemuuliza nini?



Sifa ya Malaya ni kulombwa na wanaume tofauti tofauti, je kwa kigezo hiko, ww mwanamke ni Malaya wa namna gani

4. Vipi kesho kutwa unatoka, unatiki au unabaki nyumbani?

Nitakuwa nyumbani.
N mwendo wa bangi, muziki mnene na nyeto siku nzima.

  1. Sehemu gani ya mwili akikugusa unampa?

Mm akigusa uboo wangu lazima nmlambishe alichokigusa 😎
 
1. Kuna msemo nilisikia kwenye movie ya spider no way home unasema "if you expect dissapointment you will never be dissapointed" hivyo huu msemo ndo huwa naishi nao
2. Huwa nasikiliza sana nyimbo za love song sikumbuki mstari unao nihusu maisha yangu hasa
4. Naenda kulitetea taifa
5. Sio kunigusa ila kuna aina flani akiniangalia
Point namba Moja inabidi na Mimi nianze kuishi nayo 💯🔥🔥🔥
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom