Dakika 45 na Prof. Sospeter Muhongo

Dakika 45 na Prof. Sospeter Muhongo

Nyamgluu

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
3,160
Reaction score
1,727
Huyu jamaa kani impress na maelezo yake. Nimependa alivyosema haongelei siasa bali uchumi na maendeleo. Na kweli katika kipindi kajitahidi mno kutkuonyesha any political bias, in fact sidhani kama kajitahidi bali ni hulka yake.

Nafkiri ni kati ya viongozi wachache geniune.
Pia nimefurahi kusikia kauli yake ya kwamba lazma TANESCO ivunjwe na ijengwe TANESCO mpya!! Unajua tulishasahau kero za umeme tulizopata mwaka jana na upuuzi wa TANESCO.

Thanks Prof, naomba tu usije ukahamishwa wizara kabla ya sisi kuona matunda yako!
 
Ngoja waje wale wa gesi ya Mtwara!

Sent from my GT-P7500 using Tapatalk 2
 
Ichi kipindi bwana dàah kimekua cha watu kujichukulia maujiko . .semunyu haulizi maswali magumu kabisaa. . .uyu kijana vipi me cridhiki kabisaaa. .Aangalie HardTalk ya bbc (af anunue koti jingine bas na icho kiatu dah)
 
Katika kipindi hiki cha leo nimeridhika kwamba Pro.Muhongo anapenda kujiona mwalimu wa kila mtu na kudhani kwamba kila mtu aliyena mawazo tofauti ni mjinga na hana ELIMU yeyote.Imedhihiri hili kupitia kuwadharau wote walioratibu maandamano ya wakazi wa mtwara na kuwaita mambumbumbu wasiojua chochote na mpaka kufikia kuwaona wote wahana mtazamo chanya.Tatizo lililopo hapa ni kwamba Prof.anaonyesha dhahiri kwamba hapendi na hayuko tayari kuvumilia kukosolewa kwa jambo lolote analosimamia yeye.Namkubali kwa mipango mizuri ya kufanya mabadiliko katika TANESCO ni mkakati madhubuti wenye malengo chanya lakini kwa hili la kuonyesha kutokuwa tayari kukosolewa nadhani inampasa ajaribu kutambua kwamba kila mtanzania anahaki ya kutoa maoni yake dhidi ya uvunaji wenye tija wa rasilimali za taifa letu.Maelezo yake yanafafanua baadhi ya maswali ingawa bado anabakia na sentensi ya kuwaona wanaopinga GESI kwenda DAR ni wabaguzi bila ya kuwasikiliza kwanza kama alivyosema atakwenda kusini hivi karibuni.Watu wa kusini wanachotaka ni mipango ya maendeleo iliyowazi na yenye tija kwa watoto wao ikiwemo ujenzi wa viwanda vitakavyotoa ajira kwa watoto wao.
 
Prof Muhongo ametoa takwimu zinazojitosheleza.
 
Ni kweli maneno yake ya dharau na kejeli kwa walio andamana kupinga bomba kwenda Dar yalikua si ya busara, hapakuwa na haja ya kuwaita mambumbumbu au wasiokua na elimu. Nafikiri watu wa Mtwara wange eleweshwa kama yeye alivyelewesha waTz wengine katika kipindi cha leo pasingekua na maandamano kama yale.

Je ni kweli wana nchi wa Mtwara walielezwa aliyoyaeleza leo?
 
The Professor is not a politician and I suspect he will pay heavily for his comments. Huwezi kuwaita wananchi waliotoa maoni yao kama ni mambumbu. Ilani ya CCM ya 2010 iliwa-promise hao wana Mtwara power station ya 300MW - kwa nini wanabadilisha sasa.

Pili hiyo Gas ya baharini anayoiongelea Professor itaanza kuchimbwa not earlier than 2018 - kwa hiyo pipeline itategemea zaidi on shore wells from Msimbati at least for the next seven years.There is still a lot of infrastructure required before the deep sea gas comes on board. Besides why not use the Mkuranga/Temeke gas for the Ubungo Generators - why transport gas all the way from Mtwara while there is plenty of gas near Dar?

According to the Professor's logic instead of generating power at Mtera/Kidatu/Kihansi, TANESCO should have piped the water to DAR as demand for electricity is there. Also NDC is going to generate its power from Mchuchuma coalfields - by the professor's logic they should transport the coal to DAR and generate power there.

The option of generating the power in Mtwara and build a high voltage transmission line to Dar should be seriously considered. A First year BSc Engineering student will tell you that it is cheaper and more efficient to transport electricity in high voltage lines than gas in a 36 inch pipeline over a 600kms distance! Besides the security and environmental requirements of guiding a 600kms gas pipeline are much higher than guiding a high voltage power transmission line.

Certainly the Professor did not convince me that he has a case - The Mtwara people appear to have advanced a better case.

Mind you I am a CCM damu from the North of Tanzania and I am looking at this issue very objectively.
 
Kwani kasemaje??
Kwamba ni gharama kuwa na kiwanda cha kugeuza gesi kuwa umeme Mtwara?
Au wawekezaji hawako tayari kufanya hivyo?
Wana Mtwara wanataka Mtwara isambaze umeme kwa nyaya,hata kwenda dunia nzima,si kupeleka gas kwa bomba hadi Dar.
 
The Professor is not a politician and I suspect he will pay heavily for his comments. Huwezi kuwaita wananchi waliotoa maoni yao kama ni mambumbu. Ilani ya CCM ya 2010 iliwa-promise hao wana Mtwara power station ya 300MW - kwa nini wanabadilisha sasa.

Pili hiyo Gas ya baharini anayoiongelea Professor itaanza kuchimbwa not earlier than 2018 - kwa hiyo pipeline itategemea zaidi on shore wells from Msimbati at least for the next seven years.There is still a lot of infrastructure required before the deep sea gas comes on board. Besides why not use the Mkuranga/Temeke gas for the Ubungo Generators - why transport gas all the way from Mtwara while there is plenty of gas near Dar?

According to the Professor's logic instead of generating power at Mtera/Kidatu/Kihansi, TANESCO should have piped the water to DAR as demand for electricity is there. Also NDC is going to generate its power from Mchuchuma coalfields - by the professor's logic they should transport the coal to DAR and generate power there.

The option of generating the power in Mtwara and build a high voltage transmission line to Dar should be seriously considered. A First year BSc Engineering student will tell you that it is cheaper and more efficient to transport electricity in high voltage lines than gas in a 36 inch pipeline over a 600kms distance! Besides the security and environmental requirements of guiding a 600kms gas pipeline are much higher than guiding a high voltage power transmission line.

Certainly the Professor did not convince me that he has a case - The Mtwara people appear to have advanced a better case.

Mind you I am a CCM damu from the North of Tanzania and I am looking at this issue very objectively.


We mkali mkuu I salute u
 
Hivi watanzania wa kizazi hiki ni wa kudanganywa?Hakuna jipya hapo.
 
A specialist/proffesor is the person who know much about something little,so as he/she keeps on specializing gradually he/she knows too much about less and less until he/she knows too much about nothing. so thats where sospeter is going,,,
 
The Professor is not a politician and I suspect he will pay heavily for his comments. Huwezi kuwaita wananchi waliotoa maoni yao kama ni mambumbu. Ilani ya CCM ya 2010 iliwa-promise hao wana Mtwara power station ya 300MW - kwa nini wanabadilisha sasa.

Pili hiyo Gas ya baharini anayoiongelea Professor itaanza kuchimbwa not earlier than 2018 - kwa hiyo pipeline itategemea zaidi on shore wells from Msimbati at least for the next seven years.There is still a lot of infrastructure required before the deep sea gas comes on board. Besides why not use the Mkuranga/Temeke gas for the Ubungo Generators - why transport gas all the way from Mtwara while there is plenty of gas near Dar?

According to the Professor's logic instead of generating power at Mtera/Kidatu/Kihansi, TANESCO should have piped the water to DAR as demand for electricity is there. Also NDC is going to generate its power from Mchuchuma coalfields - by the professor's logic they should transport the coal to DAR and generate power there.

The option of generating the power in Mtwara and build a high voltage transmission line to Dar should be seriously considered. A First year BSc Engineering student will tell you that it is cheaper and more efficient to transport electricity in high voltage lines than gas in a 36 inch pipeline over a 600kms distance! Besides the security and environmental requirements of guiding a 600kms gas pipeline are much higher than guiding a high voltage power transmission line.

Certainly the Professor did not convince me that he has a case - The Mtwara people appear to have advanced a better case.

Mind you I am a CCM damu from the North of Tanzania and I am looking at this issue very objectively.

Andika kiswahili mkuu tuelewe sote
 
Katika kipindi hiki cha leo nimeridhika kwamba Pro.Muhongo anapenda kujiona mwalimu wa kila mtu na kudhani kwamba kila mtu aliyena mawazo tofauti ni mjinga na hana ELIMU yeyote.Imedhihiri hili kupitia kuwadharau wote walioratibu maandamano ya wakazi wa mtwara na kuwaita mambumbumbu wasiojua chochote na mpaka kufikia kuwaona wote wahana mtazamo chanya.Tatizo lililopo hapa ni kwamba Prof.anaonyesha dhahiri kwamba hapendi na hayuko tayari kuvumilia kukosolewa kwa jambo lolote analosimamia yeye.Namkubali kwa mipango mizuri ya kufanya mabadiliko katika TANESCO ni mkakati madhubuti wenye malengo chanya lakini kwa hili la kuonyesha kutokuwa tayari kukosolewa nadhani inampasa ajaribu kutambua kwamba kila mtanzania anahaki ya kutoa maoni yake dhidi ya uvunaji wenye tija wa rasilimali za taifa letu.Maelezo yake yanafafanua baadhi ya maswali ingawa bado anabakia na sentensi ya kuwaona wanaopinga GESI kwenda DAR ni wabaguzi bila ya kuwasikiliza kwanza kama alivyosema atakwenda kusini hivi karibuni.Watu wa kusini wanachotaka ni mipango ya maendeleo iliyowazi na yenye tija kwa watoto wao ikiwemo ujenzi wa viwanda vitakavyotoa ajira kwa watoto wao.
mimi naona wao serikali ndio huwa hawafikirii vizuri. hivi busara iko wapi kuweka kila kitu chenye manufaa kwa ustawi wa uchumi wetu Dar? ni hatari. imagine ikitokea vita baina yetu na nchi yeyote yaani Dar ikipigwa kisawasaw maana yake vita imekwisha na uchumi wetu unaishia hapo.hatuchukui tahadhari hata kidogo.wao wakiwaza 10% basi mambo mengine yote huwekwa kando. halafu bado unadhani Nchi hii ina wasomi!
 
The Professor is not a politician and I suspect he will pay heavily for his comments. Huwezi kuwaita wananchi waliotoa maoni yao kama ni mambumbu. Ilani ya CCM ya 2010 iliwa-promise hao wana Mtwara power station ya 300MW - kwa nini wanabadilisha sasa.

Pili hiyo Gas ya baharini anayoiongelea Professor itaanza kuchimbwa not earlier than 2018 - kwa hiyo pipeline itategemea zaidi on shore wells from Msimbati at least for the next seven years.There is still a lot of infrastructure required before the deep sea gas comes on board. Besides why not use the Mkuranga/Temeke gas for the Ubungo Generators - why transport gas all the way from Mtwara while there is plenty of gas near Dar?

According to the Professor's logic instead of generating power at Mtera/Kidatu/Kihansi, TANESCO should have piped the water to DAR as demand for electricity is there. Also NDC is going to generate its power from Mchuchuma coalfields - by the professor's logic they should transport the coal to DAR and generate power there.

The option of generating the power in Mtwara and build a high voltage transmission line to Dar should be seriously considered. A First year BSc Engineering student will tell you that it is cheaper and more efficient to transport electricity in high voltage lines than gas in a 36 inch pipeline over a 600kms distance! Besides the security and environmental requirements of guiding a 600kms gas pipeline are much higher than guiding a high voltage power transmission line.

Certainly the Professor did not convince me that he has a case - The Mtwara people appear to have advanced a better case.

Mind you I am a CCM damu from the North of Tanzania and I am looking at this issue very objectively.

Safi sana mkuu, tunamheshimu prof Muhongo kuwa ni msomi mahiri kwenye fani yake, ila kwa hili la gas ya Mtwara, nadhani arudi akasome tena bado anaongea kisiasa tu
 
Nchi hii kila kitu dar na waziri anaona sawa,eti 80% of our national income inatoka dar......marekani texas oil industry ukija new york financial capital na california silicon valley ata india ivyo ivyo,bangalore silicon valley na mumbai financial capital.....tujifunze
 
No wonder "mwarabu" anapotaka muungano ufe,ni ili aje kuidai na Dar es Salaam,na Bagamoyo.
 
Back
Top Bottom