Jagarld
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 2,689
- 3,442
Mambo ya mwaka (one nineteen sixty four) 1 19 64, ha ha ha ha ha ha ha
teh teh teh teh! Huyo ndo mheshimiwa sana naibu waziri wa wizara nyeti kuliko ata nyeti zenyewe mlugo a.k.a mfugo.
Mambo ya mwaka (one nineteen sixty four) 1 19 64, ha ha ha ha ha ha ha
Mfumo kirsto huo unafanya kazi.
Umofia Kwenu,
Leo J3 03rd Dec 2012 ndani ya Dakika 45 atakuwepo Dep Minister wa elimu na mafunzo ya ufundi aka mzee wa zimbabwe,usikose kuangalia saa tatu usiku.
Mwenye namba yake anipe.
Hii nimeipendaMfumo kirsto huo unafanya kazi.
Huyo ndiye Mulugo halisi.Huyu bwana alipokuwa Mbeya Secondary alikuwa Head Prefect na alipokwenda Songea Boys alisoma masomo ya HGL alifeli FORM VI kwa KUPATA DIV 0, na aliporudi MBEYA akawa anafundisha ktk shule moja ya Sekondary ya WAHINDI pale Town kwa kutumia vyeti feki. Then yule muhindi shule ikamshinda akamwachia MULOGO akarudi kwao INDIA. From there jamaa ndo akaanza kupata fedha na alipogombea ubunge inasemekana alikuwa anajitambulisha amesoma UDSM Kumbe ndugu yake ndo alisoma UDSM anatumia vyeti vya huyo ndgu yake. Kashfa zilipozidi ndo akatoa record kuwa kasoma OPEN.
Philip Mulugo: Form VI Results Songea Boys 1996: Division 0.
kingkong kasema jf tuache kushadadia