Dakika 45 ITV na Philip Mulugo

alicho sema mlugo kuwa suala lile halikupaswa kusemwa pale ni sahihi sana. huyo mtangazaji hazimtoshi anapenda cheap popularity.

Naomba utufahamishe kwa nini haikuwa sahihi na mtangazaji anatafuta 'cheap popularity' kutoka kwa nani na kwa sababu gani?

Sent from my GT-I9100 using Tapatalk 2
 
alicho sema mlugo kuwa suala lile halikupaswa kusemwa pale ni sahihi sana. huyo mtangazaji hazimtoshi anapenda cheap popularity.
Wewe na mwenzio Mlugo tu mnaweza ku-oment hivi. Elezea. Ni kwa namna ipi hayo uyasemayo ni kweli?
 
na wewe akili yako ni kama Mlugo tu huko africa kusini mlugo alienda kama nani na hapo mlugo alikuwa anahojiwa kama nani? jiheshimu na heshimu uwezo wako wa kufikiria

Amethibitisha kuwa hana uwezo wa kufikiri.
 
Mfumo kirsto huo unafanya kazi.

Hapo kwenye red hujaeleweka....hilo ni zao la kukosa umakini...na hilo linawezekana lipo-extended mpaka kwenye maisha yako binafsi....

Nimepata malezi bora...vinginevyo ningekutusi moja kwa moja...
 
Huyu jamaa bure kabisa, anaposema amewahi kupata sifuri ya sifuri kwenye mtihani , hii maana yake nini ? Elimu ya tanzania imeingiliwa

kwa hiyo anamanisha jumla ya alama za mtihani ikuwa 00,hivo naye kapata sifuri juu ya sifuri na hivo alipata alama zote kama ni hivo basi dah hii nayo ni ajabu jingine kutoka kwa mheshimiwa sana mlugo.
 
kwanza nimeshangaa eti anasema watanzania tumemshadadia kwa suala la Zimbambwe

akiwa kama kiongozi hakutakiwa kukosea na amekosea mara mbili kwenye hotuba moja inamaanisha hakuwa makini na alichokuwa anakifanya na alikuwa na uoga kama sio kutokujiamini, ingekuwa kiongozi wa busara angerudi katambua kosa akaitisha press conference atueleweshe anasuburi hadi redio na televisheni zimtafute ndio aje kuongea kuhusu hilo amenishangaza sana tena anatumia lugha ya wameshadadia hili neno limo kwenye kamusi?
 
Back
Top Bottom