Hakuna cha kutaajabisha ni mzunguko tu wamaisha mkuuYaani inastaajabisha sana
Avumilie tu mbona k wanalizwa kila siku ni kama vilio vya samaki tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Insue gani hiyo Demiss
Dah... Mimi kanichekesha eti ilo deni la milioni mbili ntalipa[emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha jamaa kapigwa Aise
sasa wewe akili zako ni bhangi kabisa....tangu lini mwanamke akawa "mwaminifu"??kwani ulimkuta ana "bikira"?siku zote unaambiwa wanawake ni 'mashetani"wanabadilika kila baada ya sekunde 30.....shukuru mungu ulivaa kondomu....ila usirudie tena kumsaidia mwanamke au ndugu wa mwanamke...kwani wewe huna ndugu?
Haa haaa uchawi tena ? [emoji23][emoji23][emoji23] Ili akaroge umenichekesha kweliPole sana mkuu ..
Yaani ulichagua kabisa kuamini maneno haya (Nakupenda /uko peke yako )? Hayo ni maneno tu huwa Yana tamkwa kwaajili ya kuwapumbaza watu ili waweze kuhadaika '' kama namna ambavyo wana siasa wa navyo ahidi ahadi zisizo tekelezeka kwa wananchi wakati wa kampeni....
Huko kwenu -- hakuna Uchawi ?
Na bado mpaka waitike beeeeeWanalia saiv wanaume wameanza kutupa majina ya kila ainaaa hehehhe wanacheza na akili za wanawake
We nae ndo kupenda gani huko? Usingenunua vitu vya nyumbani kwao mpaka umiliki mke. Hamjifunzi tu na nyie
Ndo kajifunza tiali tena kwa practical sio theory
Mambo mengine wanaume wanajitakia.Ndo kajifunza tiali tena kwa practical sio theory
Na bado mpaka waitike beeeee
Pole ila ndio ujifunze na pia yakupasa ujue siku zote mapenzi ni sawa na kutia mkono kizani.
Kabisa. Na ndio yaliyomkuta mleta uzi.Hahaha aise. .waweza kung'atwa na nyoka
Hali haisomeki kabisaWameshaanza mmoja mmoja mmoja kulia liah ila nahisi imeanza wakat Huu wa maguuu
Umetuangusha sana maabaharia sisi wanaume
Naomba Mwenyekiti aitishe kibao cha dharura mana tulishakubaliana mwanamke hasomeshi, hatibiwi wala hapewi mtaji sasa umekiuka masharti na Adhabu Kali itachukuliwa Juuu yako
Kwako mwenyekiti