Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,406
Wengine wanatapeliwa nyumba magr na unafukuzwa unaanza zero poleee
Hayo ndo mapenzi mzee baba!
Futa machozi, anza upya!
Hayo ndo mapenzi mzee baba!
Futa machozi, anza upya!
Hali haisomeki kabisa
Kabisa kabisa Mkuu, hawa vijana pumbavu sana.Hawa wanawake kula papuchi tu usiwape moyo wako wote jipende wewe kuliko chochote kile wengine wametoa nyumba na wajalalamika mwingine alitaka kuonga nchi waka mtime ipende familia yako inatosha pumbavu
Ila malipo na hapa hapa duniani dadanguJana tu nimeomba mtu anipe hela ya kupandisha kijumba changu usiniharibie mingo na account nimeshafungua ya kuingiziwa 10 million
Hakuna cha kutaajabisha ni mzunguko tu wamaisha mkuu
Hahaha Ukisikia Mjini chuo kikuu ndio hiyo sasaDah... Mimi kanichekesha eti ilo deni la milioni mbili ntalipa
Huyu demu mjanja sana.. Kamnunulia ampendaye bodaboda na vitu vingine kaenda kupangisha
Aisee
Nimecheka mno jamaa alivyougulia.Yaani inastaajabisha sana
Haa haaa uchawi tena ? Ili akaroge umenichekesha kweli
Teh teh! Nani huyo aliyetaka kuhonga nchi kwa aijili ya papuchi akataimiwa?Hawa wanawake kula papuchi tu usiwape moyo wako wote jipende wewe kuliko chochote kile wengine wametoa nyumba na wajalalamika mwingine alitaka kuonga nchi waka mtime ipende familia yako inatosha pumbavu
LolNa bado mpaka waitike beeeee
Kabisa. Na ndio yaliyomkuta mleta uzi.
Dah! !Mkuu ndo ukome. ...
Mwanaume wa mkoan anapokutana na mademu wa kimaraHabari wakuu
Japo sio swala jipya ila hata hii ni yenyewe
SITOMWAMINI MWANAMKE TENA
Nimeamua kulielezea hili kuhusu wewe mwanamke tuliyedumu ktk mahusiano kwa muda wa mwaka mmoja. Sio siri kwa sasa umenipa wakati mgumu sana ktk mapenzi na sikutegemea kama ungenifanyia jambo gumu hivi.
Nakumbuka tulipoanza mahusiano yetu na uliponithibitishia huna mtu kabsa kimapenzi nikajikuta nakupenda tena moyo wangu ulishafika tamati kwako ulionyesha mapenzi ya dhati kwangu sikujua kama mwenzangu ulikua unatafuta njia ya kutoka.
Nakumbuka Ulikubali kwenda kunitambulisha kwenu na nilipokelewa vzr na ndugu zako nilifurahi sana kwa kua nilijua sasa nakaribia kupata mke. Lkn nilishangaa kila ninapokwambia nataka kuleta barua ulikataa na kuniambia bado itanijulisha.
Kwakua tulishafikia muda kdg ktk mapenzi yetu lkn kilichonishangaza kingine hukutaka kabsaa tukutane bila kutumia condom. Hii ilinipa maswali kdg ila sio mbaya nilijipa moyo mpaka tutakapofunga ndoa. Kwakua nashukuru mungu hela ya mboga na kuvaa sikosi Maana nimeajiriwa kwenye kampuni moja binafsi.
Siku hiyo ulinambia nikununulie vitu vya ndani upelekeke kwenu Maana wazazi wako wanapata shida vitu ni vya zamani halafu vimechoka.nikakununulia kitanda godoro sofa TV nikamalizia na fridge tukapeleka kwenu.
Baada ya miezi miwili kupita ukaniomba nikupe milioni moja ili ufanye biashara ikabidi nichukue mkopo wa milioni mbili kazini. Nikakupa laki nane ili uanze na hiyo biashara cha kushangaza kupita wiki tu ukawa hupatikani kwenye simu nikija kwenu naambiwa umesafiri tena nashangaa bila kuniaga!!
Kuna siku nilikupigia tena simu akapokea mwanaume akanitukana sana yaani ni mtu ambaye una mahusiano nae mda mrefu kabla yangu daaah we mwanamke una roho ngumu sana. Kwanini ulinificha na kuniaminisha mimi ndo wako ili tuje kuoana!!
Ila namshukuru sana mdogo wako siku nilipoenda kwenu tena ndipo akaniita pembeni na kunieleza kila kitu. Kumbe kwangu ulifanya njia ya mafanikio tu lkn uliyempenda ulikua nae. Yaan vitu nilivyonunua mimi umeenda kupanga chumba unaishia na mwanaume uliyempenda. Pia pesa niliyokupa uliyoniomba kwa nia ya biashara umempa huyo mwanaume kaongezea kanunua bodaboda yote nimeambiwa.
Nakupigia simu unamijibu nyodo na kejeri. Ila sawa mi huu mkopo nitaulipa ila namuachia mungu kwa uliyonifanyia. Umenifanya niyachukie mapenzi na nisimuamini mwanamke yeyote sasaivi. Chozi langu namuachia mungu yeye ndo atahukumu. Najua huu ujumbe lazima ukufikie lkn nikwambie tu mi nakutakia kila la kheri
cc: joanah
Dada ucjali me nmekutag tuSijasoma dear dada,kasemaje kwani?
Kasema ulimuomba anunue vitu vya ndani ukawape wazazi kumbe umeenda kupanga na mwanaume mwingine, alikupa laki nane ya mtaji umeenda kumpa mwanaume wako aongezee kwenye bodabodaSijasoma dear dada,kasemaje kwani?