Moo Click
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,495
- 3,261
- Thread starter
- #121
Sasa sijui nikikuta mzigo umepitiwa nipite na mimi au niache na niachane nae mazima mana maumivu yake dah!! [emoji24] yan bora asingekua bikra ata nisingejua maana kuchapiwa ni kawaida sometimes ila sio uchapiwe alafu ujueHakuna kitu kinauma Kama hiki mkuu
Sikumoja nlikua na m...h mwanamke nlowahi kumpenda Sana
Akanambia Noah ikitokea Mimi nmekusaliti wewe basi sitopokea hata simu zako
Akaenda field dar.....aise
Hawa viumbe waskiage tu
Baada yakubadilika Sana kunasiku nampgia hapokei[emoji26][emoji26][emoji18][emoji18] kumbe Jana yake ametoka kuchapika
Atanikumbuka
kelphin kepph