Blank page
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 4,728
- 3,172
hahaha.....
Chula kwanza sula baadaye. Nipm miss chagga nikuambie nipo wapi uje tunywe wine ya kusindikiza weekendusijekuta kuta sura ngumu
Hiyo zipu wangeweka nyeupe
Haya najaChula kwanza sula baadaye. Nipm miss chagga nikuambie nipo wapi uje tunywe wine ya kusindikiza weekend
Mjini msingi kiuno
Shekhe Kipozeo huwa nasikilizaga mawaidha yake!Aje sheikh Wangu [HASHTAG]#HilaryKipozeo[/HASHTAG]
Neeema za allah
Huyu bibi harusi kabugi yani yeye flat screen akamchagua matron mwenye jishape lake na huo mtindo wake sasa watu watakuwa wanamkodolea macho matron. Kamwe mdada ukiwa na shughuli ka hii bora umchague matron mubovu tu hata akipakwa makeup indundeunaanzaje kuchagua matron anakuzidi shape na ukute na sura kamzidi.
Shekhe Kipozeo huwa nasikilizaga mawaidha yake!
Ndiye shekhe pekee ninaye msikilizaga nikamuelewa
DuuuhHuyu bibi harusi kabugi yani yeye flat screen akamchagua matron mwenye jishape lake na huo mtindo wake sasa watu watakuwa wanamkodolea macho matron. Kamwe mdada ukiwa na shughuli ka hii bora umchague matron mubovu tu hata akipakwa makeup indunde
Nimecheka mpk basiNeeema za allah
Ubaya huo...Huyu bibi harusi kabugi yani yeye flat screen akamchagua matron mwenye jishape lake na huo mtindo wake sasa watu watakuwa wanamkodolea macho matron. Kamwe mdada ukiwa na shughuli ka hii bora umchague matron mubovu tu hata akipakwa makeup indunde
Neeema za allah
Huo ndo ukweli kwanini mtu akuibie attentions kwenye siku yakoUbaya huo...
bastola hizoNimecheka mpk basi
Hivi ni lazima huyo matron awepo?Huo ndo ukweli kwanini mtu akuibie attentions kwenye siku yako
Hahaha htrHivi ni lazima huyo matron awepo?
Sasa mtu akiombwa kuwa matron tu atajua huyo aliemuomba kashamthaminisha below yeye kwa uzuri. Kazi ipo
Matron ni lazima kuwa naye mkuu, sasa matron akikufunika ni shiida kwa kweli lazima uchague mubovu ili umfunikeHivi ni lazima huyo matron awepo?
Sasa mtu akiombwa kuwa matron tu atajua huyo aliemuomba kashamthaminisha below yeye kwa uzuri. Kazi ipo