MstahikiMeya
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 1,633
- 561
- Thread starter
- #81
Ulifanya haraka kuomba namba
NDIO KITU chakwanza kilicho nijia kichwan mkuu
Ulifanya haraka kuomba namba
Wadau za mida hii....basi dah hapa kitaani kuna mtoto flani hivi ya ukwel ananitesa mtima wangukichizi...hua anapenda kuniangalia sana pindi tunapo kutana stand au akipita hapa karibu na geto sasa mida hii nimemuona akitoka dukani nkasema hapa hapa bas amechukua cha kuchukua nikamfata ''Za muda huu mrembo''akanijb salama bs mzee mzima nkaona nisicheleweshe nikaomba namba ya simu nn dah akaniju ''hua stoagi namba ya simu''ukwel nimejiskia noma sana dah hiyo hali ya kutoswa namba imenipa mfadhaiko wakuendela kumfatlia tatzo anautesa mtima
nitumie mbinugani wadau
Fanya uchunguzi mkuu wanakuwaga waoga kweli ila hayo ndo maneno yao ya kujipia moyo
Unapenda kutongozwa ehh...
Sio kosa lako ni umri ndio uliokucost dogoWadau za mida hii....basi dah hapa kitaani kuna mtoto flani hivi ya ukwel ananitesa mtima wangukichizi...hua anapenda kuniangalia sana pindi tunapo kutana stand au akipita hapa karibu na geto sasa mida hii nimemuona akitoka dukani nkasema hapa hapa bas amechukua cha kuchukua nikamfata ''Za muda huu mrembo''akanijb salama bs mzee mzima nkaona nisicheleweshe nikaomba namba ya simu nn dah akaniju ''hua stoagi namba ya simu''ukwel nimejiskia noma sana dah hiyo hali ya kutoswa namba imenipa mfadhaiko wakuendela kumfatlia tatzo anautesa mtima
nitumie mbinugani wadau
Hii ndio solution kwa ishu ya huyu jamaa. Pesa ndio kila kitu.Mpe hela , mpe hela , mpe hela tu, we mpe hela mwenyewe atajileta....
Kwaio kama hatoi namba huwa anatoa nini?
...nikaomba namba ya simu nn dah akaniju ''hua stoagi namba ya simu''ukwel nimejiskia noma sana ......
poa za kwako
Wadau za mida hii....basi dah hapa kitaani kuna mtoto flani hivi ya ukwel ananitesa mtima wangukichizi...hua anapenda kuniangalia sana pindi tunapo kutana stand au akipita hapa karibu na geto sasa mida hii nimemuona akitoka dukani nkasema hapa hapa bas amechukua cha kuchukua nikamfata ''Za muda huu mrembo''akanijb salama bs mzee mzima nkaona nisicheleweshe nikaomba namba ya simu nn dah akaniju ''hua stoagi namba ya simu''ukwel nimejiskia noma sana dah hiyo hali ya kutoswa namba imenipa mfadhaiko wakuendela kumfatlia tatzo anautesa mtima
nitumie mbinugani wadau
!
Mi Domo Mtelezo ! Yaani :msela:
!
Kuomba namba ya simu system za kizamani ! Ni sawa na kuandika Barua !
Kwenye simu mnakuwaga Huru sana nyinyi !
Kitu live live kama tunafanya interview hivi ! :msela:
Maisha mtelezo !
:msela:
mstahiki meya...mbona umeshindwa kutumia cheo chako umpate huyo binti mkuu...hizo zote mbwembwe tu mzigo lazima utaupata sema utachelewa tu netegemea baada ya kama mwezi mmoja uje na uzi mwingine ukisema ivii...nimempata japo alikataa kunipa namba.