chox05
JF-Expert Member
- Feb 14, 2014
- 230
- 97
shangaaa na wewe
alimuona anatokea dukani na yeye angeenda pale akajifanya hata mteja mpe ka offer kidogo then jifanye huna haraka hata ya kutaka kujua jina lake uone kama samaki hajaingia chambo
Hapo sasa m nlipoona hajui kutongoza ni aliposema ooh demu ananiangaliaga kama ananipenda vile watu wengi wanaosemaga hivi ni mazege