You are welcome! [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Ngoja nikupe muda umalize nikianza usilie
Post sent using JamiiForums mobile app
Pambana mkuu..usile kwa kuangalia pichaNishawishi na pichu
Post sent using JamiiForums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Matobo
Post sent using JamiiForums mobile app
Inakuaje unashindwa kumwambia nini unapenda. Ni mkeo kweli?Ki Ukweli mi pia hazinivutii kabisa " sjui nmwambieje wife jinsi ya kuachananazo bila ya kujiskia vbaya " maana namuona amezchukua kwa fujo kweli
Post sent using JamiiForums mobile app
Ni wife kabisa... ila inanbdidi nitumie maneno ya staha kumwambia " sababu kipindi anazinunua ni kama vile alitaka kunioneshea kuwa kapata nguo nzuri na nahsi nitazpenda sana,, sasa aje nimwambie hizo bana sjazpenda tena gafla tu ,,,mi nadhan itakuwa sio vizuri na atajskia vbaya pia ...Inakuaje unashindwa kumwambia nini unapenda. Ni mkeo kweli?
Ni kweli. Tafuta siku nyingine kabisa unawezs kumuambia napenda chupi za design flan. Au mnunulie design unayopenda mpelekee. Ataacha kununua usizozipenda!Ni wife kabisa... ila inanbdidi nitumie maneno ya staha kumwambia " sababu kipindi anazinunua ni kama vile alitaka kunioneshea kuwa kapata nguo nzuri na nahsi nitazpenda sana,, sasa aje nimwambie hizo bana sjazpenda tena gafla tu ,,,mi nadhan itakuwa sio vizuri na atajskia vbaya pia ...
Post sent using JamiiForums mobile app