Dah Mimi na chupi hizi mbalimbali

Dah Mimi na chupi hizi mbalimbali

kizibo1

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2015
Posts
1,187
Reaction score
767
Mwenzenu nina shida moja sipatani kabisa na hizi chupi za chandarua, demu hata avutie vipi nikishamuona kavaa hiii hata asu mbishi analala doro mazima
 
Ziache kama upatani nazo

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Ki Ukweli mi pia hazinivutii kabisa " sjui nmwambieje wife jinsi ya kuachananazo bila ya kujiskia vbaya " maana namuona amezchukua kwa fujo kweli

Post sent using JamiiForums mobile app
Hana michepuko ndio inazo

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo tukusaidie upatane nazo ama unataka tukusaidie vipi mkuu?

Post sent using JamiiForums mobile app
Sihitaji msaada

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Aiseeeee,

Nahisi atakuwa mchepuko wako hivyo unahisi pichu inakuzuilia kupanda mlima kitonga kwa wepesi. Ila kisingizio unaona kiwe ni pichu za chandarua.

Kumbuka, ukimkataza kuzivaa ila akatokea mchenjuaji wa makinikia akazisifia basi wewe sahau ndoa yako maana utakuwa umeizika mwenyewe.
 
Back
Top Bottom