South
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 3,513
- 5,144
Hakunyoa zivu huyu
Hakunyoa zivu huyu
asante mpendwa ntafanya hivyoNi kweli. Tafuta siku nyingine kabisa unawezs kumuambia napenda chupi za design flan. Au mnunulie design unayopenda mpelekee. Ataacha kununua usizozipenda!
Hamtaki wake zenu wake sexy chumbani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aiseeee. Ila mtu mnaye share kitanda unashindwa nn kumwambia usichokipenda?
Mrs Van
umeuliza kama mimi nilivyo jiuliza, itabidi aweke picha maana sisi wengine wageni,Chupi za chandarua ndio zikoje jamani!
Mmh huna? Kwamba we hutumii au?Sina
Mrs Van
dah,kitu kikiwa kimenyolewa afu kipo ndani ya chandarua,mungu jaalia kiwe kimevimba..kinatia mshawasha sanaKi Ukweli mi pia hazinivutii kabisa " sjui nmwambieje wife jinsi ya kuachananazo bila ya kujiskia vbaya " maana namuona amezchukua kwa fujo kweli
Post sent using JamiiForums mobile app
Dunia ina mambo.
Haya weeee, shauri kaniki livaliwe.
Cocochanel mbona kama unayo na wewe, maana comment yako tu inashawishi umo kundini
Chupi ya chandarua, kwahiyo utamu haung'atwi na mbu hapoKUna demu kanitumia picha ya hiyo pichu ya chandarua.
![]()