wapalepale JF-Expert Member Mar 21, 2011 259 56 Mar 24, 2011 #42 kisha tupia Mosquito repellent hapo hata kinora kipigwe yeye hana habari.. duuu
Songoro JF-Expert Member May 27, 2009 4,122 1,017 Mar 24, 2011 #43 Mwera said: Ndio tatizo la kuchagua mijitu ya ovyo kazi kulala ovyo. Click to expand... Bora yeye alolala kwan jimbo la mbunge mlalavi na mkodoa mimacho lina tofauti???
Mwera said: Ndio tatizo la kuchagua mijitu ya ovyo kazi kulala ovyo. Click to expand... Bora yeye alolala kwan jimbo la mbunge mlalavi na mkodoa mimacho lina tofauti???
shiumiti JF-Expert Member Jun 4, 2009 435 19 Mar 25, 2011 #44 Mbinga oyeeeeeee!!!!!! Baba yetu anawakilisha!!!!!!
mfianchi Platinum Member Jul 1, 2009 11,855 8,251 Mar 25, 2011 #45 Naona alikesha kutunga mashairi ya kumsifia mkuu
N-handsome JF-Expert Member Jan 23, 2008 2,453 556 Mar 25, 2011 #46 Nambari one ehhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
Dadii JF-Expert Member Nov 14, 2010 748 1,147 Mar 25, 2011 #49 Leornado said: Kwenye posho hulali lakini hoja za msinngi ngriiii Click to expand... Anatunga Nyimbo!
Leornado said: Kwenye posho hulali lakini hoja za msinngi ngriiii Click to expand... Anatunga Nyimbo!
PastorPetro Senior Member Feb 25, 2008 189 35 Mar 25, 2011 #50 Ukweli amenenepa mno hata kuwa mume mzuri kitandani anashindwa. Inabidi apunguzue mafuta.
saitama_kein JF-Expert Member Oct 29, 2009 981 99 Mar 25, 2011 #51 Anatunga sheria mwenzenu eeeeeeh!!!
boma2000 JF-Expert Member Oct 18, 2009 3,280 310 Mar 26, 2011 #52 Leornado said: Kwenye posho hulali lakini hoja za msinngi ngriiii Click to expand... hapo anawakilisha jimbo gani na chama gani
Leornado said: Kwenye posho hulali lakini hoja za msinngi ngriiii Click to expand... hapo anawakilisha jimbo gani na chama gani