Dah mheshimiwa Komba!!!!!!!

Dah mheshimiwa Komba!!!!!!!

Leornado

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2010
Posts
1,529
Reaction score
199
Kwenye posho hulali lakini hoja za msinngi ngriiii

182036_183901508312814_100000788988904_370933_7851689_n.jpg
 
YUPO makini kweli hapo anawawakilisha wananchi wa mbinga,shame!!!!!
 
Ilitakiwa tupate picha wakati amezinduka kutoka huko alikokuwa maana utamjua tu anaweweseka. Huenda hapo alipo anatoka kulimishwa ....
 
Atakua anatafakarii.....

au ameboreka mpaka basi......

si unajua bunge la kumi chini ya maza ni vijembe na mipasho na hiyo kwake ni fani...sasa pengine aliyekuwa anaghani mipasho hakumvutia si ajabu kwa kukosa kipaji...mzee akaona isiwe shida..akaamua kuuchapa usingizi....:laugh:
 
Ndio tatizo la kuchagua mijitu ya ovyo kazi kulala ovyo.
 
Alishasema alikuwa amezama ktk maombi kuombea mafisadi wazidi kuifisadi Tanzania, na wananchi waendelee kulala usingizi wa fofofofofofofofof!!!
 
Tatizo huo mzigo aliouwekea mikono hapo mbele yake. Waswahili wanauita "kiriba tumbo" kama sikosei ukipenda kitambi
 
Na huo unene unategemea nini? Dk Ndodi anawatamani sana watu kama hawa
 
Ndio tatizo la kuchagua mijitu ya ovyo kazi kulala ovyo.
....Na hawa ndio wanaopitisha hoja za msingi bungeni wakiwa usingizini mwishowe wanaingiza nchi kwenye matatizo ya Dowan's, Richmond, Meremeta, Kagoda etc etc etc...............Jitu limevimbiana utadhani kuna pump inajaza upepo..Walaaaniwe kabisa!
 
presha ilikuwa inapandaaaaaa, presha inashukaaaaa....na kamustachi chake....songea kuna kazi
 
kaweka screen saver kidogo tuu!
mtu mzima hasinzii bana!!
 
Kwenye posho hulali lakini hoja za msinngi ngriiii

182036_183901508312814_100000788988904_370933_7851689_n.jpg


CCM...CCM... aah aah Chama cha mapinduzi CCM namba 1............tieni tieni tieni kwa moyo mmojaaa..... hapa anaota ndoto za kutunga nyimbo za ujinga tu ili avute mafungu
 
As you all know kuna kazi za mchana na za usiku kwa wale waliooa. Kazi ya usiku ikifanywa baada saa 8 usiku na uamke muda wa kawaida lazima mchana usingizi utakupitia.

Msimlaumi ila arekebishe ratiba yake mambo ya say 17/2 yafanyike ndani ya 17/2 na siyo asubuhi ya kuamkia 18/2 akifanya hivyo hatalala mchana.
 
makinda akiuliza wangapi wanasema dowans ilipwe? anashtuka akikuta wengine wamenyosha mikono na ananyoosha bila kujua swali limeulizwaje
 
Back
Top Bottom